Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Ni kweli mtibeli pia naongezea acha kuwagawia watoto pipi mtaani utajikuta unanyea debe si mda mrefu.
Jumba bovu linakuangukia kimasiharaShida sio hisia ni kuepuka kabisa mazoea. Kanaweza kufanyiwa huko msala ukaangukia kwako.
Mazoea mazoea na vitoto ni kukata kabisa.Jumba bovu linakuangukia kimasihara
Endelea, una hekima sanaNafikiri vitu ambavyo wapumbavu hawawezi kuvifikiri. Na kamwe hawatoweza kunielewa
Kila mtu achunge furushi lake.Barikiwa Sana.
Wengine hawatanielewa, na hiyo ni juu Yao sasa
Shida sio hisia ni kuepuka kabisa mazoea. Kanaweza kufanyiwa huko msala ukaangukia kwako.
Kuna watu wana Upendo wa asili kwa Watoto, siongelei kuwabaka, kwahiyo usichanganye mafaili.Unawezaje kuwa na mazoea na mtoto wa miaka 2?. Mazoea hayo mnakuwa mnajadili nini?
dAwa ni kujihukumu tu kupiga nyeto.
mimi hapo nina sifa zote ela sina kutongoza cjui sina mpenz hatua nlochukua ni kupiga nyeto mpaka nimekua na ganz na mwqnamke.
nIkilud kutoka saiti kaz nguvu kwq nguvu ni kulalq usngz wq kifo nq kupiga puli
Kumbaka mtoto ni ushetani
Mtu yeyote anayeweza kumfira mwanaume mwenzake hawezi kushindwa kufanya hivyo kwa mtoto.Utatamani vipi vitoto km hivyo? Then we akili yako itakua si nzuri,
Haya makurumbembe yamejaa mitaani toka miaka 18 kwenda mbele we ukasumbuane na kitoto.
Si tunacheza kuanzia 35 kwenda mbele huyo mtoto akisogea atakula fimbo tu tena unaweza msakizia mbwa(mama yake au bibi yake)
Atapigwa fimbo za kutosha mpk akome.
Fact tupu Kuna vitoto viko 2 vilianza mazoea nilipo panga uncle nicheze game nicheze game mara kimoja kikazama chumbani unataka nn uku kinanitolea macho nilifukuza.
Iyo mara moja tayr watu wanajua mtibeli unawapa pipi hata ukisingiziwa case watu wana conclude ni kweli unawarubuni kwa pipi.Unaweza kuwapa mara moja moja Ila ishu ni mazoea yakijinga ambayo huwaga yamepitiliza
Kuna watu wana Upendo wa asili kwa Watoto, siongelei kuwabaka, kwahiyo usichanganye mafaili.