Kafanya usaliti anahitaji msaada wenu

Mbombo ngafu
 
laiti angejua uzazi wa sas iv ulivyo washida atasijarbu kutoa iyo mimba.. yeye azae bwana akitoka amwambie hali ya halisi na ukweli siku zote umuweka mtu huru. ajiandae kwa lolote atakalo amua bwana mwisho wa siku maisha lazima yaendelee tu
 
laiti angejua uzazi wa sas iv ulivyo washida atasijarbu kutoa iyo mimba.. yeye azae bwana akitoka amwambie hali ya halisi na ukweli siku zote umuweka mtu huru. ajiandae kwa lolote atakalo amua bwana mwisho wa siku maisha lazima yaendelee tu
Atamlelea wapi sasa huyo mtoto?Je azae halafu ampe mzazi mwenzake?
 
Duh
 
Azae na aachane na bwana jambazi!
Afikirie atakavyokuja kuishi na mtu jambazi maisha yasiyo amani wala adili
Watoto wake watamwita baba jambazi
Zamani ilikuwa ikigundulika kuwa mtu si mwadilifu kwenye jamii hata kupata kwake mke/ mume ilikuwa kwa taab sana siku hizi aaaaah twende tu!
 
Atamlelea wapi sasa huyo mtoto?Je azae halafu ampe mzazi mwenzake?
jaman mbn mnacomplecate mambo atamlelea wapi ndo nini? kwan huyo bint hana kwao? ikitokea ndoa imekufa si unarudi nyumbn kinachotakiwa apo bint ajiandae kwa lolote tu ndo maana nasisitiza kila siku kuhus wanawake kujishughulisha stress zinakuwa tofauti.
 
dah kwel ww genious
 
Ushauri umefika maadam
 
Hivi kulikuwa na haja gani ya kumuomba ushauri mtu aliyempa mimba? Akatoe tu kwani huyo aliyempa atamfanya nn akitoa? Wanawake akili ndogo sana
 
Asubiri bwana Jela arejee uraiani kisha wakae washauriane nini cha kufanya, ushauri tutakaompa huku ni kuiongezea Mitandao ya simu faida tu kupitia bundle!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…