Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Kafulila is fine 👏🏿👏🏿👏🏿
 
Kafulila huwa namwamini tofauti na wengine
 
Na kwakweli vijana level ya Kafulila Tanzania waliowaamini na waadilifu ni Yeye na yeye tu
Kitu kinachomwangusha Kafulila ni swala la ndoa hajui kuishi na Wanawake anataka kuwazuia kama rushwa🤣🤣
 
Ilikuwa ni ngumu sana Jesca wa CHADEMA kuishi na Kafulila wa CCM nadhani shida ilianzia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…