UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Huo mshangao ni kutaka kujua kijiji ambacho hakina maji, au kijiji ambacho kina maji?,😂😂😂 Wewe unatoka Kijiji gani ambacho hakina maji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mshangao ni kutaka kujua kijiji ambacho hakina maji, au kijiji ambacho kina maji?,😂😂😂 Wewe unatoka Kijiji gani ambacho hakina maji?
Kujua Kijiji ambacho hakina majiHuo mshangao ni kutaka kujua kijiji ambacho hakina maji, au kijiji ambacho kina maji?
Kafulila ni Mwamba sana kwa hoja hata hivyo,View attachment 3027430
Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji safi na Salama.
Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru wa nchi hii.
Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.
Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.
Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.
Hata hivyo takwimu zinaonesha upatikanaji wa Maji vijijini umepanda kutoka 70.1% mpaka 89.6% wakati upatikanaji wa Maji mjini umeongezeka kutoka 85% mpaka 90%.
#Mama Samia hakamatiki
Ni Mwamba kwelikweli linapokuja suala la kujenga hoja nzito nzitoKafulila ni Mwamba sana kwa hoja hata hivyo,
Hongera Rais Samia
Vijiji ni vingi havina maji,😂😂😂 Wewe unatoka Kijiji gani ambacho hakina maji?
Mama Samia kapeleka magari ya kuchimbia visima kila mkoa Tanzania, tushindwe wenyewe tu.Vijiji ni vingi havina maji
Uadilifu unalipa sanaSafi sana Mheshimiwa David Kafulila kiongozi Mwenye ujasiri na uthubutu wa kueleza ukweli juu ya masuala mbalimbali yaliyofanywa na Rais wetu na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Uzuri wa Mheshimiwa Kafulila anatoa na ushahidi kabisa wa kitakwimu.View attachment 3027681View attachment 3027681
Kwa hakika unalipa sana .ndio maana Mheshimiwa Kafulila Anaendelea kuaminika mbele ya watanzaniaUadilifu unalipa sana
Mambo vipi FaizaMama Samia kapeleka magari ya kuchimbia kila mkoa Tanzania, tushindwe wenyewe tu.
🤣🤣🤣Hao watafiti hawasemi ukweli, tatizo kubwa la Watanzania ni ujinga.
Umeongea ukweli kabisa na huo ndio uhalisia wenyewe na kila mtu anaona juhudi kubwa za Mheshimiwa Rais wetu katika kumaliza tatizo la maji hapa Nchini.Mama Samia kapeleka magari ya kuchimbia visima kila mkoa Tanzania, tushindwe wenyewe tu.
TrueUmeongea ukweli kabisa na huo ndio uhalisia wenyewe na kila mtu anaona juhudi kubwa za Mheshimiwa Rais wetu katika kumaliza tatizo la maji hapa Nchini.
Kenya unataka kuifananisha na Tanzania, Unajua hata Kama Wakenye wangekuja Tanzania wasinge gomaUmasikini mbaya kuliko wote ni ule wa fikra.
Hii ndiyo changamoto inayojenga na kuimarisha msingi wa umasikini wa Tanzania na Africa ya weusi (waarabu na makaburu ni tofauti, kwa wale tuliofika kwao na tuna akili tuliona na kupata uzoefu).
Viongozi wetu na watumishi wa uma wanatakiwa kuelewa kwamba, tafiti za kweli na suluhu ya matatizo yetu itapatikana kwa wananchi wenyewe.
Sera ya elimu lazima ibadilishwe kuondoa elements za ile ya kikoloni.
Hizi elimu za kukariri ni changamoto.
Tunatakiwa pia kuhakikisha watoto na vizazi vijavyo, kuanzia gen z, kutokubaliana na ujinga, uwe kwa wenyewe au kutoka kwenye mamlaka za kiserikali, hivyo wataweza kushindana na kujenga taifa lao kufaidi duniani.
Hata hivyo, tunatakiwa kuwaanda na kuwadhibiti wasifanye fujo kama Kenya.
Toa maelezo yanayojitosheleza ukiainisha kutokufanana huko na pia ambacho kingewafanya wasigome.Kenya unataka kuifananisha na Tanzania, Unajua hata Kama Wakenye wangekuja Tanzania wasinge goma
Hahaaa, inaonyesha wewe umekulia mjini na umaishi mjini!Kujua Kijiji ambacho hakina maji
Ila vijiji vingi kwa sasa vina majiHahaaa, inaonyesha wewe umekulia mjini na umaishi mjini!