Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Kafulila kwanini ameliongelea hili sasa? Atamponza huyo mama yake, kwa wakati huu 80% ya Dar kuna mgao wa maji wa HATARI.
 
Wapumbavu nyie,Yani miaka Zaidi ya 60 ya uhuru tunazungumzia maji? Kwa utajiri WA nchi HII mambo ya maji,barabara na umeme vingetakiwa viwe tangu miaka ya 90 au at least 2000
CCM wamedhoofisha nchi
🤣🤣🤣Kijana fanya kazi acha makasiriko
 
View attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,

Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.

Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.

Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,

Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.

Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,

Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.
Samahani Kafulila,
Hivi barabara ya kulipia mnaanza kujenga lini? Maji naomba nisiseme kabisa, maana nipo Mbezi Makabe na sijaona maji mwaka wa kumi huu
 
Samahani Kafulila,
Hivi barabara ya kulipia mnaanza kujenga lini? Maji naomba nisiseme kabisa, maana nipo Mbezi Makabe na sijaona maji mwaka wa kumi huu
Sorry, Mimi sio Kafulila.

Maji mwaka wa kumi unamaana gani?

Umeshavuta bomba ila maji hayatoki?

Au hakuna mabomba?

Fafanua Mzee,
 
Wapumbavu nyie,Yani miaka Zaidi ya 60 ya uhuru tunazungumzia maji? Kwa utajiri WA nchi HII mambo ya maji,barabara na umeme vingetakiwa viwe tangu miaka ya 90 au at least 2000
CCM wamedhoofisha nchi
Halafu kibaya zaidi ni kuwa sisi wenyewe watanzania hatujui matatizo yetu Hadi aje mzungu mkoloni huyo wa SYNOVATe

ndiye atufanyie utafiti aseme shida kubwa mko.nayo ni maji ndio Serikali ianze kufanyia kazi

HIi Nchi tuwarudishie tu Wakoloni waendelee tu kututawala Sababu ndio wanajua hasa matatizo tuliyonayo kuliko Hivyo vichwa vitupu vilivyoko serikalini akiwemo Kafulila
 
Halafu kibaya zaidi ni kuwa sisi wenyewe watanzania hatujui matatizo yetu Hadi aje mzungu mkoloni huyo wa SYNOVATe

ndiye atufanyie utafiti aseme shida kubwa mko.nayo ni maji ndio Serikali ianze kufanyia kazi

HIi Nchi tuwarudishie tu Wakoloni waendelee tu kututawala Sababu ndio wanajua hasa matatizo tuliyonayo kuliko Hivyo vichwa vitupu vilivyoko serikalini akiwemo Kafulila
Matatizo ni mengi ila "Tatizo namba moja"
 
Wapi bado tatizo.kila mtanzania anaona na kushuhudia juhudi kubwa sana zilizofanywa na zinazoendelea kuchukuliwa na serikali katika usambazaji wa maji safi na salama.kwa kuanzisha miradi mikubwa ya maji na kuhakikisha maji yanawafikia wananchi mahali walipo.kikubwa ni sisi wananchi kuhakikisha tunatunza miundombinu ya maji kama vile mabomba,matenki,koki za maji n.k.

Acheni uchawa wa kijinga nyie wapumbavu
 
View attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,

Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.

Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.

Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,

Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.

Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,

Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.

Huyu TUMBIRI asituletee ujinga. Yaani report ya 2008 ndiyo anaizungumzia leo...!!?

Kwa anachokisema, inamaanisha kuwa tatizo bado ni lilelile kwa miaka 15 tena ni kwa kiasi kilekile.
 
Matatizo ni mengi ila "Tatizo namba moja"
Sasa kama Hivyo vichwa vitupu vilivyojazana serikalini havijui tatizo namba moja la watanzania ni lipo Hadi aje mzungu SYNOVATe ambaye haishi Tanzania si raia wa Tanzania kuja kuwaambia viongozi wa Serikali kuwa tatizo ni maji

HUoni kuwa huko serikalini wamejaa wapumbavu wengi sana ?
 
Huyu TUMBIRI asituletee ujinga. Yaani report ya 2008 ndiyo anaizungumzia leo...!!?
Outdated research

Hana kazi za kutosha za kufanya ofisini

Ndio maana kutwa Yuko miandaoni muda mwingi anauza sura mtandaoni Kila kona

Angekuwa na kazi za kutosha zinazohitaji kichwa kuwa fit na kuwaka ukiwaza Namna ya taasisi iende asingekuwa kutwa Yuko mitandaoni anaruka Ruka Toka tawi hili.la mtu.kwemda tawi lingine kwa vimada vya kuokoteza okoteza na kupost
 
Huyu TUMBIRI asituletee ujinga. Yaani report ya 2008 ndiyo anaizungumzia leo...!!?

Kwa anachokisema, inamaanisha kuwa tatizo bado ni lilelile kwa miaka 15 tena ni kwa kiasi kilekile.
Hizo data umeziona?
 
View attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,

Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.

Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.

Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,

Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.

Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,

Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.
Mwaka 2016 - 2024 tatizo kubwa hapa nchini ni maisha ya UCHAWA.
 
Back
Top Bottom