econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Wewe ndio ufanye kazi uache uchawa.🤣🤣🤣Kijana fanya kazi acha makasiriko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio ufanye kazi uache uchawa.🤣🤣🤣Kijana fanya kazi acha makasiriko
Kafulila umekuja na ID mpya. Baada ya kuona watu wamekushtukia na kukupotezea. Maana kila saa ulikuwa unahangaika kupandisha nyuzi zako zote za nyuma ila ukazidiwa na Gen Z wa Kenya na issue ya Mpina. Fanya kazi acha uchawa.Sorry, Mimi sio Kafulila.
Maji mwaka wa kumi unamaana gani?
Umeshavuta bomba ila maji hayatoki?
Au hakuna mabomba?
Fafanua Mzee,
Acha uongo wako hapa ndugu yangu.mbona mimi ninamuandika sana Mheshimiwa Kafulila na wala siyo kwamba ninalipwa au kuwahi kuonana naye? Fahamu ya kuwa Mheshimiwa Kafulila anakubalika na kupendwa na watanzania kutokana na uchapakazi wake, uzalendo wake na upeo wake mkubwa alio nao.najuwa CHADEMA mnaumia sana na mnatamani sana angekuwa ndani ya chama Chenu ili awasaidie kwenye hoja mbalimbaliUlijaribu kupandisha nyuzi zako baada ya kusahaulika. Naona umeamua kuleta nyuzi mpya.
Hatua ipi Tena? Hatua ni kuleta maji mengine ni porojo.Umechukua hatua gani
Sawa Kafulila. Unataka Usemaji wa Ikulu? Pambana. Leta nyuzi mbili kila siku.Matatizo ni mengi ila "Tatizo namba moja"
Kwa kanuni za utafiti huwezi kutumia literature iliyozidi miaka kumi nyuma.Hizo data umeziona?
Data za kupika?. Muwe mnakaa kimya. Bungeni kila mbunge analilia maji halafu chawa anakuja na mahesabu yake ya kumfurahisha Rais.Hizo data umeziona?
Uchawa wa kwako Kafulila. Unajiabisha Sana. Umeshapewa cheo fanya kazi ila ndio hivyo uchawa kwenda mbele.Uchawa upi sasa, Tofauti gani kati ya Uchawa na Uzalendo?
Sio kigambona, ni kigamboni mjimwema, kibugumo, geza, mawezi, ungindoni na kwingine koote huko ni mwendo wa visima tu, raisi walimuingiza chaka alikuja kuzindua mradi haijakamilika, ye anazindua wakati hata bomba chini zilikuwa hazijatandazwa, kifupi mpaka leo yale maji aliyozindua hakuna kitu.Kigambona gani haina maji bro?
Kwani PPP sio ya Mama?Kafulila baadala uwaze mambo ya PPP umegeuka chawa wa mama.
Na wewe pia ni Kafulila?Kwenye hii thread naona muhusika na multiple ID zake na chawa wake wanajaribu kuback up uongo wao.
Very primitive.
Ukweli ni huu,View attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,
Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.
Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.
Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,
Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.
Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,
Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.
Yes. na hii inamaanisha bado 25% nchi nzima mjini na vijijini itakuwa na majiHakuna sehemu ambako serikali yetu haijafikisha huduma ya maji.ndio maana kwa sasa upatikanaji wa maji maeneo ya vijijini ni zaidi ya 75
Ni wapumbavu haswa! Dodoma mjini mabomba yapo tu hayatoi maji watu wanatumia maji ya visima.Wapumbavu nyie,Yani miaka Zaidi ya 60 ya uhuru tunazungumzia maji? Kwa utajiri WA nchi HII mambo ya maji,barabara na umeme vingetakiwa viwe tangu miaka ya 90 au at least 2000
CCM wamedhoofisha nchi
Umesoma na kuelewa nilichoandika?Na wewe pia ni Kafulila?
Ni kweli kabisa japo kwa mjini kiwango cha upatikanaji wa maji safi na salama kipo juu ya asilimia hizo.Yes. na hii inamaanisha bado 25% nchi nzima mjini na vijijini itakuwa na maji
Kwa hakika anastahili mitano mingine pamoja na kumpelekea Bungeni vijana wengine akili kubwa aina ya Mheshimiwa David Kafulila.Mama Samia anapiga kazi sana hakika mitano inamuhusu tu