Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Halafu kibaya zaidi ni kuwa sisi wenyewe watanzania hatujui matatizo yetu Hadi aje mzungu mkoloni huyo wa SYNOVATe

ndiye atufanyie utafiti aseme shida kubwa mko.nayo ni maji ndio Serikali ianze kufanyia kazi

HIi Nchi tuwarudishie tu Wakoloni waendelee tu kututawala Sababu ndio wanajua hasa matatizo tuliyonayo kuliko Hivyo vichwa vitupu vilivyoko serikalini akiwemo Kafulila
Umasikini mbaya kuliko wote ni ule wa fikra.
Hii ndiyo changamoto inayojenga na kuimarisha msingi wa umasikini wa Tanzania na Africa ya weusi (waarabu na makaburu ni tofauti, kwa wale tuliofika kwao na tuna akili tuliona na kupata uzoefu).
Viongozi wetu na watumishi wa uma wanatakiwa kuelewa kwamba, tafiti za kweli na suluhu ya matatizo yetu itapatikana kwa wananchi wenyewe.
Sera ya elimu lazima ibadilishwe kuondoa elements za ile ya kikoloni.
Hizi elimu za kukariri ni changamoto.
Tunatakiwa pia kuhakikisha watoto na vizazi vijavyo, kuanzia gen z, kutokubaliana na ujinga, uwe kwa wenyewe au kutoka kwenye mamlaka za kiserikali, hivyo wataweza kushindana na kujenga taifa lao kufaidi duniani.
Hata hivyo, tunatakiwa kuwaanda na kuwadhibiti wasifanye fujo kama Kenya.
 
Umasikini mbaya kuliko wote ni ule wa fikra.
Hii ndiyo changamoto inayojenga na kuimarisha msingi wa umasikini wa Tanzania na Africa ya weusi (waarabu na makaburu ni tofauti, kwa wale tuliofika kwao na tuna akili tuliona na kupata uzoefu).
Viongozi wetu na watumishi wa uma wanatakiwa kuelewa kwamba, tafiti za kweli na suluhu ya matatizo yetu itapatikana kwa wananchi wenyewe.
Sera ya elimu lazima ibadilishwe kuondoa elements za ile ya kikoloni.
Hizi elimu za kukariri ni changamoto.
Tunatakiwa pia kuhakikisha watoto na vizazi vijavyo, kuanzia gen z, kutokubaliana na ujinga, uwe kwa wenyewe au kutoka kwenye mamlaka za kiserikali, hivyo wataweza kushindana na kujenga taifa lao kufaidi duniani.
Sahihi tafiti za wataalamu wetu zinatakiwa kuzingatiwa sisi ndio tunajua mazingira yetu na changamoto zetu tukiwa na mentality ya kipumbavu kama hii ya Kafulila mjinga huyo hatufiki mbali kusubiri mzungu ndie afanye tafiti ndipo tuimbe Kaswida au Halleluya na kufanyia kazi sio sahihi Kafulila mjinga sana

Mbona Kwao nchi zao hao wazungu hawasubiri sisi waafrika tukafanye tafiti na watafiti wetu na maprofesa wetu tuwaeleze changamoto zao kubwa Nini ili wafanyie kazi?

Afrika Kuna shida nchi nyingi Zina miaka 60 na zaidi Toka mkoloni aondoke physically lakini hajaondoka vichwani mwa waafrika wengi Hadi Leo

Na hakuna ukoloni Mbaya kama unaoshikilia kichwa kama huo ulioshikilia kichwa Cha Kafulila na waafrika wengi Kwa ujumla

Ñaunga mkono hoja Yako asilimia elfu moja

Mkoloni hajaondoka kwenye fikra za waafrika wako wengi akiwemo Kafulila nk
 
Sahihi tafiti za wataalamu wetu zinatakiwa kuzingatiwa sisi ndio tunajua mazingira yetu na changamoto zetu tukiwa na mentality ya kipumbavu kama hii ya Kafulila mjinga huyo hatufiki mbali kusubiri mzungu ndie afanye tafiti ndipo tuimbe Kaswida au Halleluya na kufanyia kazi sio sahihi Kafulila mjinga sana

Mbona Kwao nchi zao hao wazungu hawasubiri sisi waafrika tukafanye tafiti na watafiti wetu na maprofesa wetu tuwaeleze changamoto zao kubwa Nini ili wafanyie kazi?

Afrika Kuna shida nchi nyingi Zina miaka 60 na zaidi Toka mkoloni aondoke physically lakini hajaondoka vichwani mwa waafrika wengi Hadi Leo

Na hakuna ukoloni Mbaya kama unaoshikilia kichwa kama huo ulioshikilia kichwa Cha Kafulila na waafrika wengi Kwa ujumla

Ñaunga mkono hoja Yako asilimia elfu moja

Mkoloni hajaondoka kwenye fikra za waafrika wako wengi akiwemo Kafulila nk
Tusimtukane Kafulila na wengine, ni victims of circumstances. Wanachotakiwa kufanya ni kuwa wazalendo kwa kuchukua fikra chanya from within.
 
Tusimtukane Kafulila na wengine, ni victims of circumstances. Wanachotakiwa kufanya ni kuwa wazalendo kwa kuchukua fikra chanya from within.
Mtu ajiongeze uzalendo sio ubwege mtu anatakiwa ajiongeze si ana akili pia ya kuzaliwa

Kikwete aliongea vizuri sana kuwa Cha kuambiwa au kusoma changanya na akili zako

Kwenye hili Kafulila kaacha akili zake chooni

Tatizo sio Elimu yetu ni Elimu tunayopata popote kuchanganya na akili zetu

Kafulila ana shida ya kutochanganya na akili zake na Mwashambwa pia humu jamii forums issue sio Elimu tu wamesoma lakini hawana ability ya kuchanganya walichosoma na akili zao
.akili wameacha chooni
 
Mtu ajiongeze uzalendo sio ubwege mtu anatakiwa ajiongeze si ana akili pia ya kuzaliwa

Kikwete aliongea vizuri sana kuwa Cha kuambiwa au kusoma changanya na akili zako

Kwenye hili Kafulila kaacha akili zake chooni

Tatizo sio Elimu yetu ni Elimu tunayopata popote kuchanganya na akili zetu

Kafulila ana shida ya kutochanganya na akili zake na Mwashambwa pia humu jamii forums issue sio Elimu tu wamesoma lakini hawana ability ya kuchanganya walichosoma na akili zao
.akili wameacha chooni
Unataka kujifananisha wewe na Kafulila?
Au unataka kujifananisha na Lucas?
 
Mtu ajiongeze uzalendo sio ubwege mtu anatakiwa ajiongeze si ana akili pia ya kuzaliwa

Kikwete aliongea vizuri sana kuwa Cha kuambiwa au kusoma changanya na akili zako

Kwenye hili Kafulila kaacha akili zake chooni

Tatizo sio Elimu yetu ni Elimu tunayopata popote kuchanganya na akili zetu

Kafulila ana shida ya kutochanganya na akili zake na Mwashambwa pia humu jamii forums issue sio Elimu tu wamesoma lakini hawana ability ya kuchanganya walichosoma na akili zao
.akili wameacha chooni
Elimu haiongezi akili ya mtu, hunoa ile aliyo nayo.
Rais mstaafu Kikwete yupo sahihi kabisa.
Kama mtu hana za kuchanganya, anachukua za kuambiwa tu (hata hivyo, wengi kwenye nafasi za ki mamlaka ni victims of circumstances, tuwahukumu kwa haki, hadi Rais yuko yuko humo).
Anaweza kuchanganya zake zisionekane bila ku-scrutinize.
 
Elimu haiongezi akili ya mtu, hunoa ile aliyo nayo.
Rais mstaafu Kikwete yupo sahihi kabisa.
Kama mtu hana za kuchanganya, anachukua za kuambiwa tu (hata hivyo, wengi kwenye nafasi za ki mamlaka ni victims of circumstances, tuwahukumu kwa haki, hadi Rais yuko yuko humo).
Anaweza kuchanganya zake zisionekane bila ku-scrutinize.
Sijui tunabishana nini?
Huko makwenu maji hayapo?

Kazi ya Samia mnaionaje?
 
View attachment 3027430

Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema, utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji.

Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru.

Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.

Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.

Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.​
Kafulila Supa,Arudi bungeni
 
Sijui tunabishana nini?
Huko makwenu maji hayapo?

Kazi ya Samia mnaionaje?
Hatubishani, tunatoa hoja za kujenga zaidi.
Kwangu nina maji (full time) na hata nikizaliwa nilikuta maji ya bomba kijijini kwetu.
Samia yuko mbele akiongoza watanzania wanaofanya kazi za maendeleo yao.
Sasa toa hoja ya kuwashawishi na kuwatia moyo watanzania waongeze bidii katika kazi za kuwaletea maendeleo kama unavyopaswa kufanya ili kama mwenzao.
 
Hatubishani, tunatoa hoja za kujenga zaidi.
Kwangu nina maji (full time) na hata nikizaliwa nilikuta maji ya bomba kijijini kwetu.
Samia yuko mbele akiongoza watanzania wanaofanya kazi za maendeleo yao.
Sasa toa hoja ya kuwashawishi na kuwatia moyo watanzania waongeze bidii katika kazi za kuwaletea maendeleo kama unavyopaswa kufanya ili kama mwenzao.
 
Hatubishani, tunatoa hoja za kujenga zaidi.
Kwangu nina maji (full time) na hata nikizaliwa nilikuta maji ya bomba kijijini kwetu.
Samia yuko mbele akiongoza watanzania wanaofanya kazi za maendeleo yao.
Sasa toa hoja ya kuwashawishi na kuwatia moyo watanzania waongeze bidii katika kazi za kuwaletea maendeleo kama unavyopaswa kufanya ili kama mwenzao.
Kazi ni kipimo Cha UTU WA mtu
 
Watu wanamwamini sana Kafulila Kwa rekodi na historia yake
 
Kazi ni kipimo Cha UTU WA mtu
Kweli kabisa.
Tuendelee kuthibitisha na kufundisha watoto na vizazi vijavyo, viache uchawa na unyumbu, vifanye kazi zenye tija na uzalishaji kwa jamii na taifa kwa ujumla.
Tuwaelimishe wote (chawa na host) kwamba uchawa na unyumbu ni kwa maslahi yao ya muda tu, wafikirie maslahi ya jamii na taifa kwa wakati mrefu ujao.
 
Kweli kabisa.
Tuendelee kuthibitisha na kufundisha watoto na vizazi vijavyo, viache uchawa na unyumbu, vifanye kazi zenye tija na uzalishaji kwa jamii na taifa kwa ujumla.
Tuwaelimishe wote (chawa na host) kwamba uchawa na unyumbu ni kwa maslahi yao ya muda tu, wafikirie maslahi ya jamii na taifa kwa wakati mrefu ujao.
Uchawa ni jambo baya sana ila siku hizo Kila mtu mwenye mawazo tofauti na CHADEMA anaitwa Chawa
 
Back
Top Bottom