Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Umasikini mbaya kuliko wote ni ule wa fikra.
Hii ndiyo changamoto inayojenga na kuimarisha msingi wa umasikini wa Tanzania na Africa ya weusi (waarabu na makaburu ni tofauti, kwa wale tuliofika kwao na tuna akili tuliona na kupata uzoefu).
Viongozi wetu na watumishi wa uma wanatakiwa kuelewa kwamba, tafiti za kweli na suluhu ya matatizo yetu itapatikana kwa wananchi wenyewe.
Sera ya elimu lazima ibadilishwe kuondoa elements za ile ya kikoloni.
Hizi elimu za kukariri ni changamoto.
Tunatakiwa pia kuhakikisha watoto na vizazi vijavyo, kuanzia gen z, kutokubaliana na ujinga, uwe kwa wenyewe au kutoka kwenye mamlaka za kiserikali, hivyo wataweza kushindana na kujenga taifa lao kufaidi duniani.
Hata hivyo, tunatakiwa kuwaanda na kuwadhibiti wasifanye fujo kama Kenya.
Umeandika kwa hisia sana ila kishabiki
 
Porojo za kisiasa tu. Kama hata Mwanza City ambayo iko ndani ya ziwa maji ni ya shida, huo utatuzi wa 92% huwa unafanyikia wapi?
Ni mji gani Tanzania ambao una uhakika wa maji 100% kwa 24/7?
 
View attachment 3027430

Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi Mkuu wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji safi na Salama.

Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru wa nchi hii.

Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.

Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.

Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.​
Kuweka kumbukumbu sawa.
Hakuna cheo kinaitwa mkurugenzi mkuu wa PPP hapa Tanzania. Hakipo.
Pili, Kafulila ni kamishna wa PPP na sio mkurugenzi mkuu.
Mwisho kabisa, tatizo la maji limezidi kuota mizizi zaidi, kwa sasa hadi jiji la Dar linateseka kwa uhaba wa maji.
 
View attachment 3027430

Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji safi na Salama.

Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru wa nchi hii.

Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.

Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.

Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.​
Napenda sana mijadala ya Kafulila,Mungu akubariki brother
 
Kuweka kumbukumbu sawa.
Hakuna cheo kinaitwa mkurugenzi mkuu wa PPP hapa Tanzania. Hakipo.
Pili, Kafulila ni kamishna wa PPP na sio mkurugenzi mkuu.
Mwisho kabisa, tatizo la maji limezidi kuota mizizi zaidi, kwa sasa hadi jiji la Dar linateseka kwa uhaba wa maji.
Cheo kwani ndio nini?
 
Kuweka kumbukumbu sawa.
Hakuna cheo kinaitwa mkurugenzi mkuu wa PPP hapa Tanzania. Hakipo.
Pili, Kafulila ni kamishna wa PPP na sio mkurugenzi mkuu.
Mwisho kabisa, tatizo la maji limezidi kuota mizizi zaidi, kwa sasa hadi jiji la Dar linateseka kwa uhaba wa maji.
Cheo hicho chukua wewe kama vipi?
 
Kafulila umekuja na ID mpya. Baada ya kuona watu wamekushtukia na kukupotezea. Maana kila saa ulikuwa unahangaika kupandisha nyuzi zako zote za nyuma ila ukazidiwa na Gen Z wa Kenya na issue ya Mpina. Fanya kazi acha uchawa.
Acha uongo na uzushi wako hapa
 
View attachment 3027430

Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji safi na Salama.

Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru wa nchi hii.

Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.

Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.

Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.​
Great Kafulila
 
View attachment 3027430

Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji safi na Salama.

Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru wa nchi hii.

Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.

Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.

Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.​
Shida ya maji Tanzania kwakweli inapungua kwa kasi sana Wacha Tukubaliane.
 
Kafulila hana akili timamu, kwamba sahivi tatizo la maji halipo? nenda Monduli, Longido, Same, Siha, Simanjiro, Kiteto na Hanang uone tatizo lilivyo kubwa
 
Back
Top Bottom