Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

View attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,

Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.

Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.

Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,

Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.

Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,

Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.
Mama katoa pesa nyingi tatizo huko field mafisi ni mengi sana
 
Uchawa upi sasa, Tofauti gani kati ya Uchawa na Uzalendo?
Mkuu rejea hoja na maudhui ya mada ziletazwo hapa jukwaani na kijana wetu Lucas Mwashambwa, ndipo utaweza kupata kwa tafsiri yako mwenyewe maana ya maisha ya uchawa.
 
View attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,

Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.

Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.

Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,

Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.

Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,

Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.
YULE TUMBILI?
 
Outdated research

Hana kazi za kutosha za kufanya ofisini

Ndio maana kutwa Yuko miandaoni muda mwingi anauza sura mtandaoni Kila kona

Angekuwa na kazi za kutosha zinazohitaji kichwa kuwa fit na kuwaka ukiwaza Namna ya taasisi iende asingekuwa kutwa Yuko mitandaoni anaruka Ruka Toka tawi hili.la mtu.kwemda tawi lingine kwa vimada vya kuokoteza okoteza na kupost
Acha ujinga wako wewe . unaelewa hoja ya Mheshimiwa Kafulila? Unaelewa ni vipi tatizo la maji lilikuwa ni tatizo miaka hiyo? Unaelewa ni vipi tatizo la maji lilikwamisha na kuwa kikwazo katika maisha ya watanzania? Unaelewa ni namna gani tatizo la Maji lilikomba pesa za watu mifukoni mwao?
 
Huyu TUMBIRI asituletee ujinga. Yaani report ya 2008 ndiyo anaizungumzia leo...!!?

Kwa anachokisema, inamaanisha kuwa tatizo bado ni lilelile kwa miaka 15 tena ni kwa kiasi kilekile.
Kwa sasa hakuna tatizo hilo kwa kuwa sasa mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu ametoa mabilioni ya pesa katika miradi mbalimbali ya maji .na hivyo kufanya maji kupatikana kwa wingi mijini na vijijini.na hiyo ndio hoja ya Mheshimiwa Kafulila
 
View attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,

Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.

Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.

Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,

Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.

Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,

Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.
Ulijaribu kupandisha nyuzi zako baada ya kusahaulika. Naona umeamua kuleta nyuzi mpya.
 
Acha kudhihaki watu wewe Kafulila. Kupata kazi PPP ushajiona Rais. Punguza dharau kumbuka ulipotoka.
Acha kutaja taja majina ya watu humu .naona kila mtu anayeleta hoja za Mheshimiwa unaona ni Mheshimiwa Kafulila.tambua tu kuwa watu wanamkubali sana Mheshimiwa Kafulila ndio maana wanamuunga mkono na kumsikiliza na kufuatilia kwa ukaribu sana hoja zake ,kwa kuwa wanatambua ni kiongozi mwenye akili na ufahamu wa masuala wa mbalimbali
 
Back
Top Bottom