Mzee Nyerere
JF-Expert Member
- Jun 24, 2024
- 219
- 279
- Thread starter
- #41
Kigambona gani haina maji bro?Kigamboni tu hapo, alikuja kuzindua mradi mpaka leo hakuna hata tone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigambona gani haina maji bro?Kigamboni tu hapo, alikuja kuzindua mradi mpaka leo hakuna hata tone.
Mama katoa pesa nyingi tatizo huko field mafisi ni mengi sanaView attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,
Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.
Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.
Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,
Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.
Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,
Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.
Mkuu rejea hoja na maudhui ya mada ziletazwo hapa jukwaani na kijana wetu Lucas Mwashambwa, ndipo utaweza kupata kwa tafsiri yako mwenyewe maana ya maisha ya uchawa.Uchawa upi sasa, Tofauti gani kati ya Uchawa na Uzalendo?
YULE TUMBILI?View attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,
Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.
Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.
Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,
Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.
Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,
Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.
Acha ujinga wako wewe . unaelewa hoja ya Mheshimiwa Kafulila? Unaelewa ni vipi tatizo la maji lilikuwa ni tatizo miaka hiyo? Unaelewa ni vipi tatizo la maji lilikwamisha na kuwa kikwazo katika maisha ya watanzania? Unaelewa ni namna gani tatizo la Maji lilikomba pesa za watu mifukoni mwao?Outdated research
Hana kazi za kutosha za kufanya ofisini
Ndio maana kutwa Yuko miandaoni muda mwingi anauza sura mtandaoni Kila kona
Angekuwa na kazi za kutosha zinazohitaji kichwa kuwa fit na kuwaka ukiwaza Namna ya taasisi iende asingekuwa kutwa Yuko mitandaoni anaruka Ruka Toka tawi hili.la mtu.kwemda tawi lingine kwa vimada vya kuokoteza okoteza na kupost
Acha ujinga wako hapa.YULE TUMBILI?
Achana naye huyo anaweza kuwa ameziona ila akawa ni kipofu wa akili na macho.Hizo data umeziona?
Kwa sasa hakuna tatizo hilo kwa kuwa sasa mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu ametoa mabilioni ya pesa katika miradi mbalimbali ya maji .na hivyo kufanya maji kupatikana kwa wingi mijini na vijijini.na hiyo ndio hoja ya Mheshimiwa KafulilaHuyu TUMBIRI asituletee ujinga. Yaani report ya 2008 ndiyo anaizungumzia leo...!!?
Kwa anachokisema, inamaanisha kuwa tatizo bado ni lilelile kwa miaka 15 tena ni kwa kiasi kilekile.
Kafulila baadala uwaze mambo ya PPP umegeuka chawa wa mama.Mtaani kwako hapa ndio wapi huko?
Ulijaribu kupandisha nyuzi zako baada ya kusahaulika. Naona umeamua kuleta nyuzi mpya.View attachment 3027483
Katika Ukurasa wake wa (X) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila ameandika haya,
Kampuni maarufu duniani yenye kuaminika zaidi ya Steadman / SYNOVATe miaka ya 2008 iliwahi kubaini tatizo kubwa la Watanzania kwa wakati huo lilikuwa ni maji safi na salama.
Kafulila anasema tangu Rais Samia ameingia madarakani bajeti ya maji ni kubwa na inatekelezwa kabla ya wakati mara zote miezi minne kabla ya mwisho wa kipindi cha bajeti.
Kafulila anasema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akitekeleza kati ya 75% hadi 92% kwa kipindi chake chote Cha miaka mitatu,
Leo, chini ya Rais Samia na kwa miaka hii mitatu upatikanaji wa Maji vijiji ni 80% kutoka 70.1% mwaka 2020.
Hata hivyo, Upatikanaji wa Maji mijini umeongezeka kutoka 85% mwaka 2020 mpaka 90% leo,
Ndio maana Tanzania inasema Mama Samia mitano tena inamuhusu.
Kafulila aka chawa wa mama. Wewe mzima.
Aliyefanya wa Kafulila.Utafiti wako umefanywa na nani?
Mbona unauliza kinafikiSehemu gani hiyo?
Acha kudhihaki watu wewe Kafulila. Kupata kazi PPP ushajiona Rais. Punguza dharau kumbuka ulipotoka.Ni maeneo gani?
Kwa sasa PPP chini ya Mheshimiwa Kafulila inafanya vizuri sana na imekuwa maarufu sana mpaka kila mtanzania sasa anafahamu maana ya pppKafulila baadala uwaze mambo ya PPP umegeuka chawa wa mama.
Baadala ya kushughulika na PPP unaanza kuhoji makazi ya watu. Kweli uchawa mbaya.Magomeni ipi hiyo?
Tangu lini chawa akaona ukweli?. Maana bila uchawa wa kuandika tweet usingeteuliwa.Mgao wa nini Mimi Niko sioni hicho kitu
Acha kutaja taja majina ya watu humu .naona kila mtu anayeleta hoja za Mheshimiwa unaona ni Mheshimiwa Kafulila.tambua tu kuwa watu wanamkubali sana Mheshimiwa Kafulila ndio maana wanamuunga mkono na kumsikiliza na kufuatilia kwa ukaribu sana hoja zake ,kwa kuwa wanatambua ni kiongozi mwenye akili na ufahamu wa masuala wa mbalimbaliAcha kudhihaki watu wewe Kafulila. Kupata kazi PPP ushajiona Rais. Punguza dharau kumbuka ulipotoka.
Kama huna mgao Kaa kimya.Mgao wa nini Mimi Niko sioni hicho kitu