Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Sisi vijana wa zamani kidogo tulichota maji kwenye visima sijui ka.a watoto wetu wanafahamu visima
 
Kafulila ni Mwamba sana kwa hoja hata hivyo,
 
Ni wakati Muafaka wa Mheshimiwa Kafulila kupewa jimbo na wananchi hapo Mwakani maana ni hazina kwa Taifa.
 
Hao watafiti hawasemi ukweli, tatizo kubwa la Watanzania ni ujinga.
 
Mama Samia kapeleka magari ya kuchimbia visima kila mkoa Tanzania, tushindwe wenyewe tu.
Umeongea ukweli kabisa na huo ndio uhalisia wenyewe na kila mtu anaona juhudi kubwa za Mheshimiwa Rais wetu katika kumaliza tatizo la maji hapa Nchini.
 
Kenya unataka kuifananisha na Tanzania, Unajua hata Kama Wakenye wangekuja Tanzania wasinge goma
 
Kenya unataka kuifananisha na Tanzania, Unajua hata Kama Wakenye wangekuja Tanzania wasinge goma
Toa maelezo yanayojitosheleza ukiainisha kutokufanana huko na pia ambacho kingewafanya wasigome.
Kupeana elimu ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…