Soma Tena uelewe vizuri. Muwekeza auwawekezaji wanatakiwa wajenge mitambo yao kuziba Hilo pengo la upungufu wa Mega watt 56 elfu.Serikali ikope mabilioni kukamilisha miradi halafu then aitwe mwekezaji ambaye aje tu asimamie kukusanya pesa halafu yeye ndiye atuambie kukusanya sh ngapi!!!
Nzuri kupita kiasi, sio yeye tu, hadi mke wake yuko vizuri.Hali Mbowe ikoje huko CHADEMA mkuu?
Huyu kwanini asigombee tu Urais mbona hakili anayo kabisa===
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika Kipindi Cha One on One Cha Wasafi TV amesema Tanzania katika miaka 25 ijayo inatarajia kujenga Uchumi mkubwa karibu mara mbili ya Uchumi wote wa Africa ya Kusini ya Leo.
Kafulila anaendelea kwa kusema kama Africa ya Kusini ya leo Wana Umeme unaofikia Megawatt 60,000 huku sisi tukitarajia kujenga Uchumi marambili ya Uchumi huo wa Africa Kusini leo maana yake lazima tuwe na Umeme unaozidi umeme wa Africa ya Kusini ya leo ambao ni zaidi ya Megawatt 60,000.
Swali tunaloweza kujiuliza kwa pamoja, ni Je, bila kushirikisha mitaji toka sekta binafsi PPP Tanzania kwa kutumia Kodi na Mikopo pekee tunaweza kufikia kumiliki umeme wa Megawatt zaidi ya 60 ifikapo mwaka 2050 Jibu ni "HAPANA" lazima PPP ichukue nafasi kwenye hili kwa manufaa ya kizazi hiki na manufaa ya kizazi kijacho.
View attachment 3202423
====
Yule mwizi sanaNzuri kupita kiasi, sio yeye tu, hadi mke wake yuko vizuri.
Kwa hiyo atakuwa meneja wa Tanesco,kamishna wa pppp,Rais,sijui nani ni nk? Au?Huyu kwanini asigombee tu Urais mbona hakili anayo kabisa
Katika waongo wabobezi Kafulila yumo===
Kafulila anaendelea kwa kusema kama Africa ya Kusini ya leo Wana Umeme unaofikia Megawatt 60,000 huku sisi tukitarajia kujenga Uchumi marambili ya Uchumi huo wa Africa Kusini leo maana yake lazima tuwe na Umeme unaozidi umeme wa Africa ya Kusini ya leo ambao ni zaidi ya Megawatt 60,000.
View attachment 3202423
====
Upinzani tulipotezaKwa hiyo atakuwa meneja wa Tanesco,kamishna wa pppp,Rais,sijui nani ni nk? Au?
Punguzeni ujinga ,mtu kuweza area A haimaanishi anaweza area B.
Kafulila anachofanya ni kujitangaza yeye unakuta kuna kitu mfano halmashauri au Shirika linapanga kuingia ubia wako tu kwenye mazungumzo wao kama wao yeye huyo huibuka na mada upesi Jamii forums kuelezea hiyo PPP wakati mara ingine hata mazunguzo hayajafikia mwisho anaropoka vitu ambavyo viko katika hatu za mwanzo tu ili mradi aonekane utafikiri yeyre ndie mhusikaKwa hiyo atakuwa meneja wa Tanesco,kamishna wa pppp,Rais,sijui nani ni nk? Au?
Punguzeni ujinga ,mtu kuweza area A haimaanishi anaweza area B.
Mbona amekwambia ni miaka 25 ijayo!Katika waongo wabobezi Kafulila yumo
Hivi sisi tawaweza jenga uchumi.mkubwa mara mbili kuliko wa Africa ya kusini kuhitaji umeme mara mbili ya wa Afrika ya kusini?
Uchumi wa Africa kusini ndio mkubwa kwa bara zima la Africa ns sababu uchumi wao ni wa viwanda vikubwa na wamiliki wa hivyo viwanda vikubwa ni wazungu sio waafrika
Makampuni kibao ya ulaya na marekani wana partnerships ns wazungu wa Africa ya kusini na ku export sana Ulaya na Marekani nk
Sisi hapa tuna uchumi gani wa kuizidi Africa kusini ? Huu wa kutegemea viwanda vya Sido vya wahindi,waarabu na wachina? Hadi tuhitaji umeme mara mbili ya wa kwao
Kafulila kaamua kuwa dalali kwa kujenga hata hoja zisizo na akili kabisa
Porojo tu hizo miaka 25 ijayo kwani Africa kusini watakuwa hapohapo walipo leo?Mbona amekwambia ni miaka 25 ijayo!
Kwanini unajidharau kiasi hiki?
Mkuu wapi Kafulila kasema miaka 25 ijayo Africa ya Kusini itakuwa hapohapo?Porojo tu hizo miaka 25 ijayo kwani Africa kusini watakuwa hapohapo walipo leo?
Anachukua takwimu Africa kusini za sasa na kuzifanya static kuwa miaka 25 ijayo watakuwa hapohapo halafu sisi tutawazidi mara mbili
Ujinga mtupu hajui hata kutafsiri takwimu
Alitakiwa kuangalia sisi miaka 25 ijayo kiumeme tutakuwaje na Africa kusini miaka 25 ijayo kiumeme watakuwaje ndipo atoe conclusion
Kaandika ujinga mtupu hajaeleza miaka 25 ijayo Africa kusini itakuwaje kwa population inayohitaji umeme kuongezeka na viwanda kuongezeka wao kiumeme watakuwa vipi compared to Tanzania
Huyu anafaa kuwa mtu mkubwa sana===
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika Kipindi Cha One on One Cha Wasafi TV amesema Tanzania katika miaka 25 ijayo inatarajia kujenga Uchumi mkubwa karibu mara mbili ya Uchumi wote wa Africa ya Kusini ya Leo.
Kafulila anaendelea kwa kusema kama Africa ya Kusini ya leo Wana Umeme unaofikia Megawatt 60,000 huku sisi tukitarajia kujenga Uchumi marambili ya Uchumi huo wa Africa Kusini leo maana yake lazima tuwe na Umeme unaozidi umeme wa Africa ya Kusini ya leo ambao ni zaidi ya Megawatt 60,000.
Swali tunaloweza kujiuliza kwa pamoja, ni Je, bila kushirikisha mitaji na Ujuzi toka sekta binafsi PPP Tanzania kwa kutumia Kodi na Mikopo pekee tunaweza kufikia kumiliki umeme wa Megawatt zaidi ya 60 ifikapo mwaka 2050 Jibu ni "HAPANA" lazima PPP ichukue nafasi kwenye hili kwa manufaa ya kizazi hiki na manufaa ya kizazi kijacho.
View attachment 3202423
====
Kafulila ni Mzalendo sana hata Upinzani tunampenda===
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika Kipindi Cha One on One Cha Wasafi TV amesema Tanzania katika miaka 25 ijayo inatarajia kujenga Uchumi mkubwa karibu mara mbili ya Uchumi wote wa Africa ya Kusini ya Leo.
Kafulila anaendelea kwa kusema kama Africa ya Kusini ya leo Wana Umeme unaofikia Megawatt 60,000 huku sisi tukitarajia kujenga Uchumi marambili ya Uchumi huo wa Africa Kusini leo maana yake lazima tuwe na Umeme unaozidi umeme wa Africa ya Kusini ya leo ambao ni zaidi ya Megawatt 60,000.
Swali tunaloweza kujiuliza kwa pamoja, ni Je, bila kushirikisha mitaji na Ujuzi toka sekta binafsi PPP Tanzania kwa kutumia Kodi na Mikopo pekee tunaweza kufikia kumiliki umeme wa Megawatt zaidi ya 60 ifikapo mwaka 2050 Jibu ni "HAPANA" lazima PPP ichukue nafasi kwenye hili kwa manufaa ya kizazi hiki na manufaa ya kizazi kijacho.
View attachment 3202423
====
Mbowe anazingua sana labda ahamie tu PPPNzuri kupita kiasi, sio yeye tu, hadi mke wake yuko vizuri.
Kiduchu au sio na bado hatujagusa geo thermal zetu.Megawatt 4K🥺🥺🥺🥺😳😳
Tutatisha sana tuKiduchu au sio na bado hatujaguza geo thermal zetu.
Sasa watuachie tuwekeze kwenye geo thermals.Tutatisha sana tu