Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

mkuu naoana umeingilia mpaka kazi za raisi
ongera kwa kujipa majukumu ambayo c yako
 

mimi naic jamaa anajitoa fahamu kabisaa
Mkuu kafulila anajitaidi kupambana kupitia mitandao ili ajisafishe kwa ajapewa pesa na kina mkono na rostam
ila mkuu kafulila ngoma ngumu nibora kujiepusha mapema na hili sakata mkuu litakuchafua kabisa kisiasa
 
Kustaafishwa kwa mkaguzi na mthibiti wa pesa za serikali na umma ni mwendelezo wa kufunika kile alichokiibuka katika uchunguzi na atakayechateuliwa sasa ni yule atakayaficha madhambi yanayotendwa na serikali ya CCM.

mkuu weka ushaidi mbele sio unaongea tu kama mbayuwayu
 

Taarifa zaidi kuhusu akaunti ya Escrow

TAARIFA zaidi zimezidi kupatikana kuhusu sakata la Escrow, linalohusisha makubaliano baina ya serikali, Kampuni ya kufua umeme ya Independet Power Tanzania Limited (IPTL) na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kama wakala wa Escrow kuwa yalikuwa ni makubaliano ya kisheria.

Makubaliano hayo yalilenga kumaliza mgogoro wa kimaslahi baina ya wabia, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar kutoka nchini Malaysia, ambapo VIP ilikuwa inamlalamikia mbia mwenzake kuhusu thamani ya hisa zake.

Hali hiyo ilisababishwa na mkataba wao, ambao ulikuwa ikimtaka kampuni ya VIP kufanya kazi za utekelezaji ikiwemo misamaha ya kodi, ofisi itakayofungwa mtambo huo wa uzalishaji umeme megawati 100, ambapo mtambo huo ulifungwa Tegeta.

Taarifa zaidi kuhusu mkataba huo, ilieleza kazi zitazofanywa na Kampuni ya VIP ni asilimia 30 ya
hisa zote huku Mechmar ikibaki na hisa ya asilimia 70 kutokana na kutoa mtaji wa uzalishaji umeme.

Kutokana na hali hiyo, VIP haikuwa tayari kuanzisha mgogoro wa kimaslahi baina yake na Mechmar, wakati kesi yao ikiendelea Mahakama Kuu ndipo VIP ikatoa pendekezo la kuzuia kulipwa kwa IPTL hadi mgogoro wao utakapoisha.

Pendekezo liliungwa mkono na serikali, ambaye ni mnunuzi wa umeme kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), na kutengeneza makubaliano kisheria ya pamoja yaliyoitwa ‘Escrow Agreement’ yaliyosainiwa na pande zote tatu ikiwemo serikali, IPTL na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ambayo ilikuwa kama wakala wa Escrow Julai 5, 2006.

Ilisema makubaliano hayo ya kisheria ilipelekea kufunguliwa kwa akaunti maalumu ya pamoja baina ya serikali, IPTL na BoT ili kutunza fedha zote za malipo ambazo IPTL walipaswa kulipwa kutokana na mauzo ya umeme waliokuwa wakiyafanya Tanesco kipindi chote cha mgogoro.

Katika makubaliano hayo, serikali iliingia kama mnunuzi wa umeme kupitia Tanesco na ilikuwa na wajibu wa kupeleka fedha katika akaunti ya Escrow badala ya kuwalipa IPTL moja kwa moja kama ilivyokuwa awali.

Ilieleza zaidi BoT wao walikuwa wakala wa Escrow na kazi yao ni kupokea, kutunza fedha na kutoa taarifa kwa pande zote zilizosaini makubaliano hayo huku IPTL yenyewe ikiwa ndio wazalishaji wa umeme.

Makubaliano hayo yalieleza kwamba, pindi mgogoro utakapoisha BoT itapaswa kutoa fedha hizo kwa IPTL ndani siku 60, baada ya pande zote kuafikiana.

Akizungumzia kuhusu Escrow, Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa IPTL/PAP, Joseph Makandege alisema wapo mbioni kuweka kila kitu katika wazi ili Watanzania wapate ukweli kuhusu Escrow.

Alisema Escrow lilikuwa jambo la kisheria baina ya wabia na serikali kama mpokea huduma, ambalo walilimaliza wao wenyewe kwa makubaliano yao ya kisheria.

“Hakuna kitu chochote ovu hapa, mengi yanayozungumzwa katika mitandao ni ya zamani na si mapya, ambayo yamemalizika kisheria,’’ alisema.

Hivyo, alisema IPTL/PAP ni kampuni makini isiyokuwa na chembe ya kifisadi na imefika hapo baada ya kupita hatua zote za kisheria, ikiwemo kununua hisa za VIP na Mechmar.

Alisema wanazidi kuwaomba watanzania, wawaamini na kuendelea kuwaamini kwa kuwa hakuna vitendo vya ufisadi.
 

  • [h=2]
    Tuhuma za ufisadi ESCROW account, ukweli wote wawekwa wazi[/h]
    Taarifa zaidi kuhusu akaunti ya Escrow

    TAARIFA zaidi zimezidi kupatikana kuhusu sakata la Escrow, linalohusisha makubaliano baina ya serikali, Kampuni ya kufua umeme ya Independet Power Tanzania Limited (IPTL) na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kama wakala wa Escrow kuwa yalikuwa ni makubaliano ya kisheria.

    Makubaliano hayo yalilenga kumaliza mgogoro wa kimaslahi baina ya wabia, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar kutoka nchini Malaysia, ambapo VIP ilikuwa inamlalamikia mbia mwenzake kuhusu thamani ya hisa zake.

    Hali hiyo ilisababishwa na mkataba wao, ambao ulikuwa ikimtaka kampuni ya VIP kufanya kazi za utekelezaji ikiwemo misamaha ya kodi, ofisi itakayofungwa mtambo huo wa uzalishaji umeme megawati 100, ambapo mtambo huo ulifungwa Tegeta.

    Taarifa zaidi kuhusu mkataba huo, ilieleza kazi zitazofanywa na Kampuni ya VIP ni asilimia 30 ya
    hisa zote huku Mechmar ikibaki na hisa ya asilimia 70 kutokana na kutoa mtaji wa uzalishaji umeme.

    Kutokana na hali hiyo, VIP haikuwa tayari kuanzisha mgogoro wa kimaslahi baina yake na Mechmar, wakati kesi yao ikiendelea Mahakama Kuu ndipo VIP ikatoa pendekezo la kuzuia kulipwa kwa IPTL hadi mgogoro wao utakapoisha.

    Pendekezo liliungwa mkono na serikali, ambaye ni mnunuzi wa umeme kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), na kutengeneza makubaliano kisheria ya pamoja yaliyoitwa ‘Escrow Agreement’ yaliyosainiwa na pande zote tatu ikiwemo serikali, IPTL na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ambayo ilikuwa kama wakala wa Escrow Julai 5, 2006.

    Ilisema makubaliano hayo ya kisheria ilipelekea kufunguliwa kwa akaunti maalumu ya pamoja baina ya serikali, IPTL na BoT ili kutunza fedha zote za malipo ambazo IPTL walipaswa kulipwa kutokana na mauzo ya umeme waliokuwa wakiyafanya Tanesco kipindi chote cha mgogoro.

    Katika makubaliano hayo, serikali iliingia kama mnunuzi wa umeme kupitia Tanesco na ilikuwa na wajibu wa kupeleka fedha katika akaunti ya Escrow badala ya kuwalipa IPTL moja kwa moja kama ilivyokuwa awali.

    Ilieleza zaidi BoT wao walikuwa wakala wa Escrow na kazi yao ni kupokea, kutunza fedha na kutoa taarifa kwa pande zote zilizosaini makubaliano hayo huku IPTL yenyewe ikiwa ndio wazalishaji wa umeme.

    Makubaliano hayo yalieleza kwamba, pindi mgogoro utakapoisha BoT itapaswa kutoa fedha hizo kwa IPTL ndani siku 60, baada ya pande zote kuafikiana.

    Akizungumzia kuhusu Escrow, Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa IPTL/PAP, Joseph Makandege alisema wapo mbioni kuweka kila kitu katika wazi ili Watanzania wapate ukweli kuhusu Escrow.

    Alisema Escrow lilikuwa jambo la kisheria baina ya wabia na serikali kama mpokea huduma, ambalo walilimaliza wao wenyewe kwa makubaliano yao ya kisheria.

    “Hakuna kitu chochote ovu hapa, mengi yanayozungumzwa katika mitandao ni ya zamani na si mapya, ambayo yamemalizika kisheria,’’ alisema.

    Hivyo, alisema IPTL/PAP ni kampuni makini isiyokuwa na chembe ya kifisadi na imefika hapo baada ya kupita hatua zote za kisheria, ikiwemo kununua hisa za VIP na Mechmar.

    Alisema wanazidi kuwaomba watanzania, wawaamini na kuendelea kuwaamini kwa kuwa hakuna vitendo vya ufisadi.


    You, Pasco, massange and 1 others like this.



    Send PM




 

Escrow lilikuwa jambo la kisheria baina ya wabia na serikali kama mpokea huduma, ambalo walilimaliza wao wenyewe kwa makubaliano yao ya kisheria.

“Hakuna kitu chochote ovu hapa, mengi yanayozungumzwa katika mitandao ni ya zamani na si mapya, ambayo yamemalizika kisheria.

Hivyo,IPTL/PAP ni kampuni makini isiyokuwa na chembe ya kifisadi na imefika hapo baada ya kupita hatua zote za kisheria, ikiwemo kununua hisa za VIP na Mechmar.
 

Basi Sawa
 
Kustaafishwa kwa mkaguzi na mthibiti wa pesa za serikali na umma ni mwendelezo wa kufunika kile alichokiibuka katika uchunguzi na atakayechateuliwa sasa ni yule atakayaficha madhambi yanayotendwa na serikali ya CCM.

Kwahyo weulitaka afanye kazi milele, achavisingizio vya kikafulila mara CAG kastaafu, mara ripoti imekabidhiwa ikulu. Sasahivi analazimisha nafasi ya CAG apewe yeye sababu kaibua sakata la iptl!! huyu si kichaa kwahyo hicho ndio kigezo cha kupata uCAG. Toeni maneno yenu mbofumbofu.
 

Nakubaliana nawewe mkuu Nasisi wa jimbo la Kigoma Kusini tunaanza na David Kafulila maana kasahau tulichomtuma wanakigoma kusini anafanya aliyotumwa na Mkono, Mengi na Rostam sasa kama hao ndio wapiga kula waKIgoma Kusini tutaona.
 
Kustaafishwa kwa mkaguzi na mthibiti wa pesa za serikali na umma ni mwendelezo wa kufunika kile alichokiibuka katika uchunguzi na atakayechateuliwa sasa ni yule atakayaficha madhambi yanayotendwa na serikali ya CCM.

Hivi amestaafishwa , au amestaaf kwa mujibu wa taratibu za utumishi wa umma?
 

Mkuu ndo "imetoka" hiyo!!!!
 
Reactions: BAK
Si rahisi kupambana na mafisadi, hata hivyo mwisho wa siku ufisadi hushindwa kwa nguvu ya uma na baadaye utaanza kujijenga tena na mapambano huanza tena. Hakuna mwisho wa mapambano dhidi ya ufisadi.
Raia wema wanatakiwa kuendeleza mapambano dhidi ya mafisadi na mbwa wao!
Kwa kipindi hiki uzao wa mbwa wa mafisadi (vibaraka) umeongezeka sana, wapo wanaofugwa na wa kujitolea. Mtandao wao ni mkubwa, kuanzia ofisi za uma, taasisi binafsi na hata mitandao ya jamii.
 

Wasiwasi ulionyesha unakosa mashiko kabisa, Kwani CAG ni one man Institution? Hakuna aliyekaimu? hakuna watumishi wengine waliochini ya CAG? JF senior member? Ndio mawazo yako kwamba kazi yenye kipaumbele ni iptl tu, basi wakimaliza ukaguzi wa iptl ofisi zifungwe!!!!!!
 

Nakubaliana nawewe mkuu. Mwisho ufisadi hushindwa/huumbuka, tumeone jinsi watanzania tulivyong'amua hila za mafisadi kupitia kibaraka wao Kafulila/ Tumbili. Pamoja tuunganishe nguvu kupambana na hawa wanaotutumia watanzania kama daraja la mafanikio yao yakiuchumi kwa hongo/fedha chafu za mafisadi kama Mbunge David Kafulila
 
TEAM KAFULILA, TEAM CAPTAIN "Bak" tunawatemesha buku 10 za mafisadi. Mnaitumia kinga ya bunge vibaya eehh! mnachukua hela za mafisadi wakina MKONO, MENGI na ROSTAM alafu mnaenda kuchefua watu bungeni. Mmetumika miaka mingi humu JF kufanikisha hila za kina MKONO sasa basi KAMANDA. teh teh teh teh kwi kwi kwi kwi, tunatia mchanga kitumbua chako mkuu BAK
 
si tuliambiwa kuwa ripoti hiyo ya pesa za ESCROW ilikabidhiwa kwa Kikwete? au ni ripoti ipi unaongelea?


 
Acha upumbavu wako wewe mpiga debe wa mapanya na mafisi ndani ya chama chenu cha wahuni. Umeona huyo balozi wa UK kasema hadharani kwamba nchi za Wafadhili zimekataa kutoa pesa zao mpaka hatima ya hizi bilioni 200 ijulikane ukitilia maanani hii Serikali inayopiga kwamba haina pesa hata imefikia kukopa katika mabenki ya biashara ambayo riba zao ni kubwa sana kufikia IMF na WB kuionya Serikali kuachana na kukopa kwenye benki hizo kwani deni la Taifa linaongezeka kwa kasi ya kutisha. Upumbavu wako wapelekee hao walafi ndani ya chama chenu cha wahuni.


 
Hakuna sheria yoyote ile nchini inayokataza Watanzania kuhoji maamuzi ya Rais, kama ipo hebu tuwekee hapa na utufahamishe pia sheria hii ilipitishwa lini.

mkuu naoana umeingilia mpaka kazi za raisi
ongera kwa kujipa majukumu ambayo c yako
 
Nakubaliana nawewe mkuu Nasisi wa jimbo la Kigoma Kusini tunaanza na David Kafulila maana kasahau tulichomtuma wanakigoma kusini anafanya aliyotumwa na Mkono, Mengi na Rostam sasa kama hao ndio wapiga kula waKIgoma Kusini tutaona.
Mkuu umenifurahisha unasema Mkono,Rostam na Mengi ndio wamemtuma mbunge wako.................haya bhana ila kuumbuana kwao si unaona ni faida kwetu tunajua rangi zao.
 

Acha ujinga wewe! yaani minakutia uelevu alafu bado unakakamaa, Kwani Barozi wa UK ndio kitugani? Acha fikra fupi kama SISIMIZI. Barozi wa UK alituletea misisimamo wa nchi yake kuwa tuoane ndio watupe misaada, kwahyo nalo tulisikilize. Acha kupigia magoti mabeberu, sikuzote wanasimamia maslahi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…