Robot Eunice
Senior Member
- May 19, 2024
- 140
- 78
Sidhani kama jamaa alinunuliwa kwa sababu ni mtu mwenye maisha duni tu, Huyu kijana ni mwadilifu sana aiseKafulila nimjenga hoja mzuri tatito ni pale aliponunuliwa tu lakini sina tatizo anachoongea japo kuna sehemu anatupiga changa la macho kwa kutetea ugali wake
Sidhani kama jamaa alinunuliwa kwa sababu ni mtu mwenye maisha duni tu, Huyu kijana ni mwadilifu sana aise
Yeah he knows well hata kama hatumpendiKafulila anajua sana aisee we proud of him
Wanastahili heshima hawa watuHongera Rais Samia
Hongera Kafulila
Napenda jinsi Kafulila unavyofafanua mambo lakini napenda zaidi anapoitetea Serikali na Rais Samia,
||VIVA SAMIA VIVA,
||VIVA KAFULILA VIVA
Asañte Mwandishi===
Mhe David Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchi PPP amewatoa hofu na mashaka Watanzania kwani Serikali yao ya awamu sita chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan ina nia na dhamira njema dhidi yao.
Kafulila akihojiwa Katika kipindi Cha Television amesema si kosa nchi kukopa kwaajili ya miradi ya maendeleo ila ni dhambi kukopa ili kugharamia mambo kama mishahara na mambo mengine yasiyo ya kimaendeleo yaani matumizi ya kawaida.
Kafulila ameenda mbali zaidi na kuwakumbusha namna Ulaya ilivyojengwa kwa misaada na mikopo toka Marekani ( Marshall Plan ) baada ya Vita kuu ya Pili ya Dunia miaka ya 1948.
Hata hivyo Mhe David Kafulila ameonesha si kweli kwamba Uchumi wa Tanzania unajengwa kwa Mikopo pekee ila ni Kwa sehemu tu,
Kafulila anasema, Tanzania kwa kipindi cha miaka mitatu imekopa fedha nje kiasi cha US$ 5 bilioni wakati Uchumi wake katika kipindi hicho umekua kwa kiasi cha US$ 20 bilioni sawa na tofauti chanya ya US$ 15 bilioni.
Mkurugenzi Mkuu huyo wa UBia amemsifu zaidi Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa jinsi alivyoipokea nchi na kwa kasi hii ya Uchumi ambayo hakuna nchi yoyote Africa Mashariki na Kati kwa miaka hii mitatu iliyofikia kiasi na kasi Kwa kiwango hiki kilichofikiwa na Tanzania ya Dkt Samia Suluhu.
=====
ushaanza kumpigia upatu na huyu tenaMheshimiwa Kafulila ni kiongozi Mwenye uwezo mkubwa sana wakiuongozi,kujenga hoja, kutetea hoja,kushawishi kwa hoja na kumfanya mtu akamuelewa kwa urahisi na kwa lugha rahisi kabisa.
Nakubaliana na wewe partially nitakuja kueleza baadaeMarshal plan iliyojenga Ulaya Hali yao ya tekelinalokujia ilikuwa kama ya kwetu kwamba huo ubia utatutoa huko. Tulikuwa na KADCO, Alliance Air, Mkataba wa SA na ATC , RITES , Iptl, Richmond, nk je ilitutoa huko.
Nyerere alisema tuna hitaji watu sio wezi ndio tunaweza kutoka hapa tulipo.
Siasa Safi sio hii ya kuuuza uza vitu, ndio maana Leo hii wazaramo hawapo darisalam yao. Tabia ya kusaini mikataba ya hovyo hovyo haitatupeleka kokote, na Maendeleo sio maneno. Sasa hivi kuna hela zimelala kwenye JNHEP hazizalishi, SGR ya vipande vipande, TAZARA. Kuna vitu vya miradi vinatakiwa kufanywa na Tumebya Mipango au wachumi kama hatuna tume ya Mipango na na ikifikia kuweka mikataba iwekwe na wanasheria sio yeye au wanasiasa .
Chuki za kishamba sana hizi ndoa zimewashinda wangapiSasa ndoa mbona hata Mkapa na Magufuli walishindwa na still wakawa Marais?
🤣🤣🤣Huna hoja aise ni kuchoshana tu wewe Mkatoliki
Kwa hakika Mheshimiwa David Kafulila Ni kiongozi muadilifu, mzalendo, mchapakazi na mwenye dhamira njema na kiu ya kuona Taifa letu linasonga mbele kimaendeleo na kukua kiuchumi kama kinachoendelea kwa sasa chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti Wa Mama yetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.Sidhani kama jamaa alinunuliwa kwa sababu ni mtu mwenye maisha duni tu, Huyu kijana ni mwadilifu sana aise
Safi===
Mhe David Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchi PPP amewatoa hofu na mashaka Watanzania kwani Serikali yao ya awamu sita chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan ina nia na dhamira njema dhidi yao.
Kafulila akihojiwa Katika kipindi Cha Television amesema si kosa nchi kukopa kwaajili ya miradi ya maendeleo ila ni dhambi kukopa ili kugharamia mambo kama mishahara na mambo mengine yasiyo ya kimaendeleo yaani matumizi ya kawaida.
Kafulila ameenda mbali zaidi na kuwakumbusha namna Ulaya ilivyojengwa kwa misaada na mikopo toka Marekani ( Marshall Plan ) baada ya Vita kuu ya Pili ya Dunia miaka ya 1948.
Hata hivyo Mhe David Kafulila ameonesha si kweli kwamba Uchumi wa Tanzania unajengwa kwa Mikopo pekee ila ni Kwa sehemu tu,
Kafulila anasema, Tanzania kwa kipindi cha miaka mitatu imekopa fedha nje kiasi cha US$ 5 bilioni wakati Uchumi wake katika kipindi hicho umekua kwa kiasi cha US$ 20 bilioni sawa na tofauti chanya ya US$ 15 bilioni.
Mkurugenzi Mkuu huyo wa UBia amemsifu zaidi Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa jinsi alivyoipokea nchi na kwa kasi hii ya Uchumi ambayo hakuna nchi yoyote Africa Mashariki na Kati kwa miaka hii mitatu iliyofikia kiasi na kasi Kwa kiwango hiki kilichofikiwa na Tanzania ya Dkt Samia Suluhu.
=====
Mimi nilishasema ni mzalendo ambaye nipo tayari kumuunga na kuwaunga mkono watu na viongozi wazalendo. Nina kila sababu kumuunga mkono Mheshimiwa David Kafulila kutokana na uzalendo wake kwa Taifa letu.ushaanza kumpigia upatu na huyu tena
Hilo wala haina ubishi kuwa Mheshimiwa Kafulila ni hazina kubwa kwa Taifa letu.Kafulila ni hazina kubwa sana kwa Taifa, Sijui wengine mnamuonaje ila jamaa anaakili sana.
Kwa Mwamposa.Karibu pia Kawe
Sahihi sana mkuu, Kafulila ni ICONHilo wala haina ubishi kuwa Mheshimiwa Kafulila ni hazina kubwa kwa Taifa letu.
Tunamhitaji Bungeni mwakani na kuona au kutamani kuona akiteuliwa kuingia ndani ya Baraza la Mawaziri.Sahihi sana mkuu, Kafulila ni ICON
Wewe nawe kigeugeu sana 😃😃Point kwako na Kafulila, Kwani hata kama Pesa ya mkopo itakwenda kwenye matumizi ya anasa utaambiwa?
Sahihi akiwa Waziri atamsaidia vizuri Rais Samia hilo naunga mkono hoja yako.Tunamhitaji Bungeni mwakani na kuona au kutamani kuona akiteuliwa kuingia ndani ya Baraza la Mawaziri.
Litakuwa jambo jema sana Mheshimiwa David Kafulila kuingia katika baraza la Mawaziri. Atakuwa na msaada mkubwa sana kwa Mheshimiwa Rais na Taifa kwa ujumla wake.Sahihi akiwa Waziri atamsaidia vizuri Rais Samia hilo naunga mkono hoja yako.
Machadema naona yameanza kukimbia kusoma hoja za KafulilaLitakuwa jambo jema sana Mheshimiwa David Kafulila kuingia katika baraza la Mawaziri. Atakuwa na msaada mkubwa sana kwa Mheshimiwa Rais na Taifa kwa ujumla wake.