Kafulila: Hata Ulaya ilijengwa kwa Mikopo toka Marekani Marshall Plan si dhambi kukopa ili kujenga miradi ya maendeleo kama SGR au JNHP

Kafulila amesema si kosa nchi kukopa kwaajili ya miradi ya maendeleo ila ni dhambi kukopa ili kugharamia mishahara na mambo mengine yasiyo ya kimaendeleo ( matumizi ya kawaida )

Point iko hapa.
Point kwako na Kafulila, Kwani hata kama Pesa ya mkopo itakwenda kwenye matumizi ya anasa utaambiwa?
 
Kazi ya Kafulila ni nzuri sana tunampongeza, Haiwezekani Upinzani kupotosha tu na Serikali kukaa kimya
 
Kuhusu Marekani kukopa au kuwa na madeni, Nadhani Mh kafulila hajawahi sikia habari kuhusu jitu linalo itwa FEDERAL RESERVE
 
πŸ˜‚πŸ˜‚

Tumblr chochea kuni Wakati wa kulipa Wajukuu zako watakuwa viongozi wa brundi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Kulipa kwa 0.5% ni sawa na kupewa Pesa Bure ufanye Kazi kisha URUDISHE,

Ndio maana hata sisi kwa sisi tunaumizana kwa KAUSHADAMU.
 
Mzigo Uletwe tu hata hivyo baadae watasamahe tu,

Kafulila tunakupongeza kuitetea vema Serikali
 
Ni kati ya vijana machachari bungeni, alihoji maswali ya msingi mpaka mafisadi wakachukia. Alipachikwa jina la tumbili. Ana kipaji cha kuongea kwa mantiki. Big up Kafulila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…