Aina hii ya 'reasoning' huwa mbaya sana! Unaona watu wanalawiti, wanaiba, wanaua, wanafanya madudu mengi tu, halafu na wewe unayafanya hayo yote, na ukiuliza kwa nini unayafanya sababu yake inakuwa kwamba hata A, B, C, D, E na nk
Reasoning ya aina hii ni hatari sana! Unaona watu wengine wanafanya madudu, halafu na wewe unayafanya, na ukiuliza unajibu kwamba hata wengine wanafanya hivyo: wanaiba, wavuta bangi, wana madeni, wanaua, wanalawiti, etc. Kwa upande wangu, tufanye mambo kwa sababu tunaona ni mazuri kwetu na yanatusaidia na si kwa sababu hata wengine wanafanya hivyo. Hiyo siyo sababu ya msingi.