Kafulila: Hata Ulaya ilijengwa kwa Mikopo toka Marekani Marshall Plan si dhambi kukopa ili kujenga miradi ya maendeleo kama SGR au JNHP

Kafulila: Hata Ulaya ilijengwa kwa Mikopo toka Marekani Marshall Plan si dhambi kukopa ili kujenga miradi ya maendeleo kama SGR au JNHP

Haka kajamaa, kameshiba pesa ya CCM, sasa hv kanatapika tu make no kama Malaya vile, unalinganisha USA na TZ? Katika kukopa? Sie tunakopa kulipa mishahara na kununua V8, wenzetu wanakopa kujenga viwanda, na kuweka Sera Bora za, uchumi, Tweeter, inamapato makubwa kuliko nchi zote za, Africa!
Yaani mwalimu wa primary akope, anunue dera,na kununua tv, ajiringsnishe na Bakheresa anayekopa kujenga viwanda!
Nadhani ungejielekeza kwenye hoja za Kafulila badala ya kum-attack personally, low thinking capaciry
 
Aina hii ya 'reasoning' huwa mbaya sana! Unaona watu wanalawiti, wanaiba, wanaua, wanafanya madudu mengi tu, halafu na wewe unayafanya hayo yote, na ukiuliza kwa nini unayafanya sababu yake inakuwa kwamba hata A, B, C, D, E na nk

Reasoning ya aina hii ni hatari sana! Unaona watu wengine wanafanya madudu, halafu na wewe unayafanya, na ukiuliza unajibu kwamba hata wengine wanafanya hivyo: wanaiba, wavuta bangi, wana madeni, wanaua, wanalawiti, etc. Kwa upande wangu, tufanye mambo kwa sababu tunaona ni mazuri kwetu na yanatusaidia na si kwa sababu hata wengine wanafanya hivyo. Hiyo siyo sababu ya msingi.
Rejea kitu kinaitwa Good practice,
 
Nadhani ungejielekeza kwenye hoja za Kafulila badala ya kum-attack personally, low thinking capaciry
Tatizo hawa vijana wa Lissu hawana hoja zaidi ya matusi na personal Attacking ni kweli😆😆😆😆
Kafulila is smart as ever kumuattack yeye badala ya hoja ni kuonesha ushahidi kuwa vijana wengi tuko emotional sana.
 
Tatizo hawa vijana wa Lissu hawana hoja zaidi ya matusi na personal Attacking ni kweli😆😆😆😆
Kafulila is smart as ever kumuattack yeye badala ya hoja ni kuonesha ushahidi kuwa vijana wengi tuko emotional sana.
Tatizo Watanzania wanaona Kila mkopo ni Mkopo mbaya hasa kama ile Mikopo aliyokopa jiwe wakati wa uhai wake,


Mama Samia yeye anakopa Soft loan tu,


Lazima tukope ili kujenga miradi yenu kwani marejesho naamini yatafanywa na miradi yenyewe.

===
 

Mhe David Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchi PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa Serikali yao ya awamu sita ina nia na dhamira njema dhidi yao.

Katika kipindi Cha DK 45 Cha ITV Kafulila amesema si kosa nchi kukopa kwaajili ya miradi ya maendeleo ila ni dhambi kukopa ili kugharamia mishahara na mambo mengine yasiyo ya kimaendeleo ( matumizi ya kawaida )

Kafulila ameenda mbali mpaka kuwakumbusha namna Ulaya ilivyojengwa kwa mikopo toka Marekani (MARSHALL PLAN ) baada ya Vita kuu ya Pili vya Dunia miaka ya 1948.

Hata hivyo Kafulila ameonesha si kweli kwamba Uchumi wa Tanzania unajengwa kwa Mikopo pekee ila ni Kwa sehemu tu,

Kafulila anasema, Tanzania kwa kipindi cha miaka mitatu tumekopa nje kiasi cha US$ 5 bilioni wakati Uchumi wetu katika kipindi hicho umekua kwa US$ 20 bilioni sawa na tofauti chanya ya US$ 15 bilioni.

Mkurugenzi Kafulila amemsifu zaidi Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna alivyoipokea nchi na kwa kasi hii ya Uchumi ambayo hakuna nchi yoyote Africa Mashariki na Kati kwa miaka mitatu imefikia kiasi na kiwango chake.​
Hizo ni Hadithi za kale inamaana CCM wametoka nje ya mpango wa big results now 2025
 
Tatizo Watanzania wanaona Kila mkopo ni Mkopo mbaya hasa kama ile Mikopo aliyokopa jiwe wakati wa uhai wake,


Mama Samia yeye anakopa Soft loan tu,


Lazima tukope ili kujenga miradi yenu kwani marejesho naamini yatafanywa na miradi yenyewe.

===
Nadhani Serikali ijielekeze kwenye Elimu zaidi ya namna Mikopo yetu itakavyotunufaisha,
Wapinzani wengi hawajui hata Mikopo yenyewe Wala masharti ya Mikopo hiyo ila wanachofanya ni kuwatisha Wananchi.
 
Kafulila amesema si kosa nchi kukopa kwaajili ya miradi ya maendeleo ila ni dhambi kukopa ili kugharamia mishahara na mambo mengine yasiyo ya kimaendeleo ( matumizi ya kawaida )

Point iko hapa.
Ukweli Mimi ni mpinzani ila Kafulila namwelewa sana aise
 
Big results si hii unaiona Sasa,
SGR,
SG,
SHULE
ZAHANATI
HOSPITALI
AMBULANCE
Na huu mpango wa Kafulila unaitwaje au Ndiyo wa kubadlisha GIA angani naona ana mipango mingi nimemsikia pia kwenye ule wa DART eti wametafuta muwekezaji, yaani badala ya ustadi wakubadili fikra za kukabiliana na changotmoto wanatafuta watu wapya kwa maneno mengine wanaahirisha kufikiri kutegemea watu wengine wafikiri kwa niaba yao
 
Back
Top Bottom