Kafulila: Huenda tuna kizazi bora zaidi kaburini kuliko hiki kilichopo leo duniani

Kafulila: Huenda tuna kizazi bora zaidi kaburini kuliko hiki kilichopo leo duniani

Nimekutana na hii Clip ya Kafulila sijui ni ya lini na alikuwa katika tukio gani sifahamu ila nimevutiwa na hekima za hotuba yenyewe.

Katika video hii Kafulila anasema hapa duniani tuna kizazi bora zaidi kilichopo kaburini kuliko hiki kinachoishi duniani leo.

Ukisikiliza vizuri hiyo Clip Kafulila anasema, Leo tuna kizazi ambacho wazee wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu ya uzee wao kwani wameishiwa nguvu.

Leo wanawake nao wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu wao ni wanawake na mbaya zaidi vijana ambao ndio nguvu kazi ya Taifa nao wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu wao ni vijana.

Kafulila anahoji, Kipo wapi kizazi kile ambacho kijana alichukua panga, shoka na jembe ili kuukabili msitu kujitajirisha na ikiwa Serikali itakuja itamkuta ametangulia shambani?

Kafulila anashanga leo kuna majengo ya Serikali maeneo mbali mbali yalijengwa miaka ya 1960 hata kabla ya Uhuru au miaka ya 1970 wakati wahandisi wa ujenzi wakiwa wachache kabisa.

Kafulila anashanga zaidi majengo hayo ya zamani kabisa leo yanapakwa rangi tu ili kusafisha kuta lakini leo majengo mengi ya madarasa na majengo mbalimbali ya Serikali yanayojengwa na Watanzania wenyewe hayadumu.

Leo, majengo mengi baada ya miaka mitano au kumi tu yanakuwa yamejaa nyufa Kila sehemu wakati leo ndio wakati ambao wahandisi wa Kitanzania wa Ujenzi wamejaa nchini"

Huenda ni kweli kizazi kilichopo kaburini kiliipenda zaidi Tanzania kuliko kizazi hiki tunachoishi kwani ni kizazi kinachotanguliza masilahi yao zaidi kuliko masilahi ya Taifa.

FIKIRI, LEO JENGO LA MWAKA 1960 HALINA NYUFA ILA JENGO LA MWAKA 2000 LIMEJAA NYUFA TUJITAKARI KAMA TAIFA.
David Kafulila wa ESCROW ndio huyu huyu?
 
Hana uhazina wowote,kaupepo tuu kama kale ka Antony Mtaka.

By the way Kuna mtu hajui kuupiga mwingi wa mdomoni hapa Tanzania ya Nyerere?.

Bahati mbaya sana Nchi hii Huwa inaendeshwa na wataalamu wa spinning za propanda,na hao ndio huonekana wa maana na sio kupimana kwenye matokeo na vigezo vya msingi.
Tunaposema ni hazina tunamaana anaumuhimu kwa Taifa
 
Nimekutana na hii Clip ya Kafulila sijui ni ya lini na alikuwa katika tukio gani sifahamu ila nimevutiwa na hekima za hotuba yenyewe.

Katika video hii Kafulila anasema hapa duniani tuna kizazi bora zaidi kilichopo kaburini kuliko hiki kinachoishi duniani leo.

Ukisikiliza vizuri hiyo Clip Kafulila anasema, Leo tuna kizazi ambacho wazee wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu ya uzee wao kwani wameishiwa nguvu.

Leo wanawake nao wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu wao ni wanawake na mbaya zaidi vijana ambao ndio nguvu kazi ya Taifa nao wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu wao ni vijana.

Kafulila anahoji, Kipo wapi kizazi kile ambacho kijana alichukua panga, shoka na jembe ili kuukabili msitu kujitajirisha na ikiwa Serikali itakuja itamkuta ametangulia shambani?

Kafulila anashanga leo kuna majengo ya Serikali maeneo mbali mbali yalijengwa miaka ya 1960 hata kabla ya Uhuru au miaka ya 1970 wakati wahandisi wa ujenzi wakiwa wachache kabisa.

Kafulila anashanga zaidi majengo hayo ya zamani kabisa leo yanapakwa rangi tu ili kusafisha kuta lakini leo majengo mengi ya madarasa na majengo mbalimbali ya Serikali yanayojengwa na Watanzania wenyewe hayadumu.

Leo, majengo mengi baada ya miaka mitano au kumi tu yanakuwa yamejaa nyufa Kila sehemu wakati leo ndio wakati ambao wahandisi wa Kitanzania wa Ujenzi wamejaa nchini"

Huenda ni kweli kizazi kilichopo kaburini kiliipenda zaidi Tanzania kuliko kizazi hiki tunachoishi kwani ni kizazi kinachotanguliza masilahi yao zaidi kuliko masilahi ya Taifa.

FIKIRI, LEO JENGO LA MWAKA 1960 HALINA NYUFA ILA JENGO LA MWAKA 2000 LIMEJAA NYUFA TUJITAKARI KAMA TAIFA.
Kafulila yuko sahihi hata hivyo
 
Hapana, hizzo siyo typing error, huo ni ujinga wa kuchanganya R na L

Tazama R iko wapi na L iko wapi, hata iwe typing error?

Danganya wajinga wengne siyo mimi.

Typo nazifahamu vilivyo na ujinga wa kuchanganya R na L naufahamu vilivyo.

Huwa sikosi "typing errors" nakosoa huo ujinga wa kuchanganya R na L. Kumbuka hilo.
Daah
 
Wote nyinyi mafisadi na wapumbavu kilakitu amuwezi, Umeme,maji,Majengo ya shule chakavu, madawati shule hakuna.
 
Nimekutana na hii Clip ya Kafulila sijui ni ya lini na alikuwa katika tukio gani sifahamu ila nimevutiwa na hekima za hotuba yenyewe.

Katika video hii Kafulila anasema hapa duniani tuna kizazi bora zaidi kilichopo kaburini kuliko hiki kinachoishi duniani leo.

Ukisikiliza vizuri hiyo Clip Kafulila anasema, Leo tuna kizazi ambacho wazee wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu ya uzee wao kwani wameishiwa nguvu.

Leo wanawake nao wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu wao ni wanawake na mbaya zaidi vijana ambao ndio nguvu kazi ya Taifa nao wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu wao ni vijana.

Kafulila anahoji, Kipo wapi kizazi kile ambacho kijana alichukua panga, shoka na jembe ili kuukabili msitu kujitajirisha na ikiwa Serikali itakuja itamkuta ametangulia shambani?

Kafulila anashanga leo kuna majengo ya Serikali maeneo mbali mbali yalijengwa miaka ya 1960 hata kabla ya Uhuru au miaka ya 1970 wakati wahandisi wa ujenzi wakiwa wachache kabisa.

Kafulila anashanga zaidi majengo hayo ya zamani kabisa leo yanapakwa rangi tu ili kusafisha kuta lakini leo majengo mengi ya madarasa na majengo mbalimbali ya Serikali yanayojengwa na Watanzania wenyewe hayadumu.

Leo, majengo mengi baada ya miaka mitano au kumi tu yanakuwa yamejaa nyufa Kila sehemu wakati leo ndio wakati ambao wahandisi wa Kitanzania wa Ujenzi wamejaa nchini"

Huenda ni kweli kizazi kilichopo kaburini kiliipenda zaidi Tanzania kuliko kizazi hiki tunachoishi kwani ni kizazi kinachotanguliza masilahi yao zaidi kuliko masilahi ya Taifa.

FIKIRI, LEO JENGO LA MWAKA 1960 HALINA NYUFA ILA JENGO LA MWAKA 2000 LIMEJAA NYUFA TUJITAKARI KAMA TAIFA.
amesema kweli kabisa.leo unaweza kumpa injinia akujengee nyuma yeye anachofanya aanjiri fundi njaa anabaki asimamia ujenzi kwa remote control.anapiga simu anauliza eti ukuta utakuwa umenyoka?
 
Nimekutana na hii Clip ya Kafulila sijui ni ya lini na alikuwa katika tukio gani sifahamu ila nimevutiwa na hekima za hotuba yenyewe.

Katika video hii Kafulila anasema hapa duniani tuna kizazi bora zaidi kilichopo kaburini kuliko hiki kinachoishi duniani leo.

Ukisikiliza vizuri hiyo Clip Kafulila anasema, Leo tuna kizazi ambacho wazee wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu ya uzee wao kwani wameishiwa nguvu.

Leo wanawake nao wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu wao ni wanawake na mbaya zaidi vijana ambao ndio nguvu kazi ya Taifa nao wanahitaji kuwezeshwa kwa sababu wao ni vijana.

Kafulila anahoji, Kipo wapi kizazi kile ambacho kijana alichukua panga, shoka na jembe ili kuukabili msitu kujitajirisha na ikiwa Serikali itakuja itamkuta ametangulia shambani?

Kafulila anashanga leo kuna majengo ya Serikali maeneo mbali mbali yalijengwa miaka ya 1960 hata kabla ya Uhuru au miaka ya 1970 wakati wahandisi wa ujenzi wakiwa wachache kabisa.

Kafulila anashanga zaidi majengo hayo ya zamani kabisa leo yanapakwa rangi tu ili kusafisha kuta lakini leo majengo mengi ya madarasa na majengo mbalimbali ya Serikali yanayojengwa na Watanzania wenyewe hayadumu.

Leo, majengo mengi baada ya miaka mitano au kumi tu yanakuwa yamejaa nyufa Kila sehemu wakati leo ndio wakati ambao wahandisi wa Kitanzania wa Ujenzi wamejaa nchini"

Huenda ni kweli kizazi kilichopo kaburini kiliipenda zaidi Tanzania kuliko kizazi hiki tunachoishi kwani ni kizazi kinachotanguliza masilahi yao zaidi kuliko masilahi ya Taifa.

FIKIRI, LEO JENGO LA MWAKA 1960 HALINA NYUFA ILA JENGO LA MWAKA 2000 LIMEJAA NYUFA TUJITAKARI KAMA TAIFA.
in fact watu wazamani walikuwa na akili nyingi sana .kuna misemo /mithali walizitunga zilikuwa zimejaa mafundisho balaa.mifano hii hapa:

1.afichaye uchi hazai.ni kweli ukificha uchi na huku unataka mtoto huwezi kuzaa,maana mimba utaipateje?

2.mwanamke ukiwa mjamzito usile mayai mengi maana utazaa mtoto mwenye upara: hapa walimaanisha kwamba ukila sana mayai ukiwa mjamzito,mtoto tumboni atakuwa na uzito mkubwa sana ,hivyo mama mjamzito atashindwa kuzaa au kupata fistula

3.ukiwa mjamzito ifikapo miezi sabab usifanye tendo la ndoa ,maana mtoto atazaliwa na mbegu kichwani.kumbe hapa walitaka tusiwachoshe wake zetu

nk
 
amesema kweli kabisa.leo unaweza kumpa injinia akujengee nyuma yeye anachofanya aanjiri fundi njaa anabaki asimamia ujenzi kwa remote control.anapiga simu anauliza eti ukuta utakuwa umenyoka?
Kweli nowadays people are not serious,
 
in fact watu wazamani walikuwa na akili nyingi sana .kuna misemo /mithali walizitunga zilikuwa zimejaa mafundisho balaa.mifano hii hapa:

1.afichaye uchi hazai.ni kweli ukificha uchi na huku unataka mtoto huwezi kuzaa,maana mimba utaipateje?

2.mwanamke ukiwa mjamzito usile mayai mengi maana utazaa mtoto mwenye upara: hapa walimaanisha kwamba ukila sana mayai ukiwa mjamzito,mtoto tumboni atakuwa na uzito mkubwa sana ,hivyo mama mjamzito atashindwa kuzaa au kupata fistula

3.ukiwa mjamzito ifikapo miezi sabab usifanye tendo la ndoa ,maana mtoto atazaliwa na mbegu kichwani.kumbe hapa walitaka tusiwachoshe wake zetu

nk
Watu walikuwa wanafanikiwa zaidi zamani
 
He's very right.

Ungeingia kwenye ubongo wake ungeona picha ya Mwalimu Nyerere, na ya Magufuli.

Even in our families huenda iko hivyo hivyo ila sometimes tunanyamaza tu.
Hakika, Jamaa na Nyerere mtupu aisee
 
Back
Top Bottom