Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
-
- #61
Wewe fahamu tu ukishakuwa na pesa kila kitu kwako kitakuwa rahisi tuSina cha kuomba, tuambie petrol, sukari, cement, bati n.k itakuwa inauzwa shs? acheni hadithi za kijinga nyie
Lindi au hili nalo hufahamu?Hiyo gas utaitoa wapi?
Kwamba nisubiri 2050 kupata milioni 12 kwa mwaka? nyie UWT mna akili timamu kweliWewe fahamu tu ukishakuwa na pesa kila kitu kwako kitakuwa rahisi tu
Hapa tunatakiwa kuangalia wakati uliopita mambo yallivyokuwa pia.Hapana lakini Kwakuwa mnyumbuliko wa Pato la kila mtu mmoja mmoja ni mkubwa na kuimarika kwa Shilingi ya Tanzania hiyo ni pesa nyingi sana tuzidishe tu kuomba uhai yajayo yanafurahisha
Lindi gas mnauziwa shs ngapi?Lindi au hili nalo hufahamu?
Subiri ianze kuchimbwa utaelewa tu BAVICHA usiwe na haraka hii ni mipango ya mbeleni ya TaifaLindi gas mnauziwa shs ngapi?
UWT hamnaga akili nyie Kikwete alisema yeye ndiyo Rais wa mwisho kuongoza Tanzania masikini lakini mpaka leo ni masikini sn.Subiri ianze kuchimbwa utaelewa tu BAVICHA usiwe na haraka hii ni mipango ya mbeleni ya Taifa
Utajiri ni hatua kwa hatua bwana mkubwa Benjamini NetanyahuUWT hamnaga akili nyie Kikwete alisema yeye ndiyo Rais wa mwisho kuongoza Tanzania masikini lakini mpaka leo ni masikini sn.
Tutakuwa around watu mil 140Na population itabaki hii iliyopo sass ama?maana haya mambo ni ya kitaalamu sana.
BAVICHA mtata sana huyuUtajiri ni hatua kwa hatua bwana mkubwa Benjamini Netanyahu
Kwa CCM yenu ya kijinga utajiri ni ndoto, miaka 63 ya uhuru bado mnakimbizana na matundu ya vyoo ni ushetani tupu, maendeleo ni hisani ya Rais na siyo dira ya taifa. Wajinga wakubwa nyie, maendeleo yenu ni ushirikina, wizi wa mali za umma, utapeli, utekaji na uuaji. nchi imejaa viwanda vya pombe kali badala ya viwanda vya mikate. shame on youUtajiri ni hatua kwa hatua bwana mkubwa Benjamini Netanyahu
Sasa tunafanyaje kama nyie CHADEMA Limbowe miaka 21 madarakani nahalitaki kutoka Sasa CCM inamakosa gani?Kwa CCM yenu ya kijinga utajiri ni ndoto, miaka 63 ya uhuru bado mnakimbizana na matundu ya vyoo ni ushetani tupu, maendeleo ni hisani ya Rais na siyo dira ya taifa. Wajinga wakubwa nyie, maendeleo yenu ni ushirikina, wizi wa mali za umma, utapeli, utekaji na uuaji. nchi imejaa viwanda vya pombe kali badala ya viwanda vya mikate. shame on you
CHADEMA inakusanya kodi? umetumwa wewe UWT? aliyewaambiwa nchi inaendeshwa kwa kubet na kunywa pombe muda wote ndiyo mchawi wenu.Sasa tunafanyaje kama nyie CHADEMA Limbowe miaka 21 madarakani nahalitaki kutoka Sasa CCM inamakosa gani?
Betting hata Mimi naichukia sana tuCHADEMA inakusanya kodi? umetumwa wewe UWT? aliyewaambiwa nchi inaendeshwa kwa kubet na kunywa pombe muda wote ndiyo mchawi wenu.
Vijana 95% hawafanyi kazi ni kubet, kunywa pombe kali, kucheza pool table, uzinzi, uchawa, ushirikina n.k, je tunajenga taifa gani hili? sasahivi ukitaka utajiri wa haraka anzisha kiwanda cha pombe kali chap unakuwa tajiri, anzisha kiwanda cha mikate mikate itakuozea, kwa hiyo hili taifa pombe kali ni muhimu kuliko mikate? nje nguvu kazi ya kesho itakuwepo? hatuoni tunatengeneza tatizo la figo, maini na mapafu? kwanini hatutengezi watu wabunifu badala yake tunatengeneza taifa la watu wavivu? maana sera zetu ni za kijinga sn.Betting hata Mimi naichukia sana tu
This is very bad betting inaharibu sana vijana wetu iangaliwe au iboreshweVijana 95% hawafanyi kazi ni kubet, kunywa pombe kali, kucheza pool table, uzinzi, uchawa, ushirikina n.k, je tunajenga taifa gani hili? sasahivi ukitaka utajiri wa haraka anzisha kiwanda cha pombe kali chap unakuwa tajiri, anzisha kiwanda cha mikate mikate itakuozea, kwa hiyo hili taifa pombe kali ni muhimu kuliko mikate? nje nguvu kazi ya kesho itakuwepo? hatuoni tunatengeneza tatizo la figo, maini na mapafu? kwanini hatutengezi watu wabunifu badala yake tunatengeneza taifa la watu wavivu? maana sera zetu ni za kijinga sn.
Mkuu ifutwe haina maana yoyote, kwanini wenzetu wahindi na waarabu watoto wao hawashiriki haya mambo ya kijinga? watawala kwao kuwa na taifa la watu wajinga ni faida maana hawawezi kuhoji chochote hata kama mtawala anaharibu ni kusifia tu uchawa mtu apate hela akanywe pombe na kubetThis is very bad betting inaharibu sana vijana wetu iangaliwe au iboreshwe
BAVICHA tangu Lissu awazindue mmekuwa na akili timamu sasaVijana 95% hawafanyi kazi ni kubet, kunywa pombe kali, kucheza pool table, uzinzi, uchawa, ushirikina n.k, je tunajenga taifa gani hili? sasahivi ukitaka utajiri wa haraka anzisha kiwanda cha pombe kali chap unakuwa tajiri, anzisha kiwanda cha mikate mikate itakuozea, kwa hiyo hili taifa pombe kali ni muhimu kuliko mikate? nje nguvu kazi ya kesho itakuwepo? hatuoni tunatengeneza tatizo la figo, maini na mapafu? kwanini hatutengezi watu wabunifu badala yake tunatengeneza taifa la watu wavivu? maana sera zetu ni za kijinga sn.
Hata Mimi nakubaliana na wewe betting ifutwe KabisaMkuu ifutwe haina maana yoyote, kwanini wenzetu wahindi na waarabu watoto wao hawashiriki haya mambo ya kijinga? watawala kwao kuwa na taifa la watu wajinga ni faida maana hawawezi kuhoji chochote hata kama mtawala anaharibu ni kusifia tu uchawa mtu apate hela akanywe pombe na kubet