Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata nyie UWT kuna namna mmeanza kujitambuaBAVICHA tangu Lissu awazindue mmekuwa na akili timamu sasa
Lazima tuwekeze kwenye kufanya kazi hizi shortcuts za utajiri ni hatari sn kwa ustawi wa taifa letu, mijadala ya vijana 95% ni Simba na Yanga, pombe, wanawake, ushirikina, betting, wizi, uchawa hakuna mafundisho ya kujenga hata kidogoHata Mimi nakubaliana na wewe betting ifutwe Kabisa
Huenda atakuwa ndio Rais wa nchi kwa wakati huo ya Mungu mengiWale watakaobahatika Uhai na kuwepo Mwaka 2050
Mkishindwa kuwa na Kipato cha milioni 12 Kwa Mwaka, na wastani wa milioni 1 Kwa Mwezi kama alivyosema Bwana Kafulila Kwa niaba ya Serikali
Jitahidi mkamchape viboko, maana wameona kawaida kuwahadaa Watanzania
Mkuu uko vizuri sanaLazima tuwekeze kwenye kufanya kazi hizi shortcuts za utajiri ni hatari sn kwa ustawi wa taifa letu, mijadala ya vijana 95% ni Simba na Yanga, pombe, wanawake, ushirikina, betting, wizi, uchawa hakuna mafundisho ya kujenga hata kidogo
Namkubali sana Rais Samia pamoja na Bwana Kafulila kwa nia njema kwa TaifaView attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA
Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,
Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,
1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.
2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.
3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.
4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.
5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Iwapo atalinda afya yakeHuenda atakuwa ndio Rais wa nchi kwa wakati huo ya Mungu mengi
Lakini inflation ni undetermined, unprojectable huwezi kuisema Leo itategemea na matukio ya wakati huo kama Calamities na mengineAwawekee na hesabu za inflation ili mjue thamani ya sh 12M ya 2050 ni nini (purchasing power parity).
Pamoja mkuuMkuu uko vizuri sana
Wewe ni team Lissu au Team MBOWE?Pamoja mkuu
HaikuhusuWewe ni team Lissu au Team MBOWE?
Wewe na Erythrocytes ni vijana wa Mbowe damu nawafahamuHaikuhusu
Unatafuta ni kulambe tusi hapa siku ikuendee vibayaWewe na Erythrocytes ni vijana wa Mbowe damu nawafahamu
Itakuwaje chama kingine kikitwaa mamlaka?View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA
Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,
Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,
1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.
2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.
3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.
4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.
5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Acha kumsaliti Mbowe wewe ni kijana wakeUnatafuta ni kulambe tusi hapa siku ikuendee vibaya
Dira haibadiliki hata wakija CHADEMA Dira hii itawahusu ila CCM ndio tunaifahamu vema Kwakuwa ndio waasisi wake.Itakuwaje chama kingine kikitwaa mamlaka?
Hapana kitakuwa bei hiyo hiyo ila ugumu kwenye kuipata hiyo pesahapo fungu la nyanya litakua laki nne
Ila wewe jamaa kila mtu kwako ni UWTHata nyie UWT kuna namna mmeanza kujitambua