Kafulila: Ifikapo mwaka 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa kati ya TZS 12M na 20M pato la Taifa litafikia $700bn mara 9 zaidi ya leo

Kafulila: Ifikapo mwaka 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa kati ya TZS 12M na 20M pato la Taifa litafikia $700bn mara 9 zaidi ya leo

L

Lakini inflation ni undetermined, unprojectable huwezi kuisema Leo itategemea na matukio ya wakati huo kama Calamities na mengine
Hata mwaka huo kufika na GDP per capita ni undetermined, hatujui nani atafika, hatujui population itakuwa vipi, unprojectable, huwezi kusema leo, inategemea na matukio ya wakati huo kama calamities.

Hilo halijazuia ku project growth na GDP per capita. Kwa kutumia averages za growth za sasa.

Hata inflation ange project kwa average inflation figures za sasa na muendelezo wake.

Shilingi milioni 12 ya mwaka 2000 si sawa na milioni 12 ya mwaka 2025. Hivyo hivyo, milioni 12 ya mwaka 2025 si sawa na milioni 12 ya mwaka 2050.

Sasa anavyotuambia watu watapata milioni 12 mwaka 2050, anamaanisha nini?

Milioni 12 ya mwaka 2050 itaweza kununua nini?

Ukiambiwa milioni 12 ya mwaka 2050 itakuwa na thamani sawa na milioni 2 ya sasa bado utafurahia kupata milioni 12 mwaka 2050?
 
Hata mwaka huo kufika na GDP per capita ni undetermined, hatujui nani atafika, hatujui population itakuwa vipi, unprojectable, huwezi kusema leo, inategemea na matukio ya wakati huo kama calamities.

Hilo halijazuia ku project growth na GDP per capita. Kwa kutumia averages za growth za sasa.

Hata inflation ange project kwa average inflation figures za sasa na muendelezo wake.

Shilingi milioni 12 ya mwaka 2000 si sawa na milioni 12 ya mwaka 2025. Hivyo hivyo, milioni 12 ya mwaka 2025 si sawa na milioni 12 ya mwaka 2050.

Sasa anavyotuambia watu watapata milioni 12 mwaka 2050, anamaanisha nini?

Milioni 12 ya mwaka 2050 itaweza kununua nini?

Ukiambiwa milioni 12 ya mwaka 2050 itakuwa na thamani sawa na milioni 2 ya sasa bado utafurahia kupata milioni 12 mwaka 2050?
Dira ni prediction,

Inaweza ikawa juu zaidi au chini kidogo,

Swala la purchasing power linaendana na stability ya currency kwa wakati huo,

Kama Taifa kazi yetu kubwa iwe ni kuistabilize currently yetu against foreign currency exchange
 
Duuuuuuuu,hizi akili zingine zinachekesha sana.2025 walioahidi kuwa uchumi wa kati hawaizungumzi Tena wamekuja na 2050 wanawaona watanzania kama mazwazwa vile.
 
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Yawezekana makadirio hayo yakaongeza Uchumi kwenye makaratasi huku kihalisia wachina, waarabu na wageni wengine.
Lazima serikali iwe na sera ya kuwafanya wananchi wake mabilionea kivitendo badala ya wageni kufaidi raslimali zaidi.
 
Dira ni prediction,

Inaweza ikawa juu zaidi au chini kidogo,

Swala la purchasing power linaendana na stability ya currency kwa wakati huo,

Kama Taifa kazi yetu kubwa iwe ni kuistabilize currently yetu against foreign currency exchange
Ili hizi projection ziwe na maana, wanatakiwa kuweka na projection za inflation.

Vinginevyo, unaweza kushangilia kipato kuongezeka kuwa shilingi milioni 12, wakati kiukweli kwa kipato hicho mwaka 2050, kwa gharama halisi za maisha, kipato kinaweza kuwa kimepungua kutoka cha sasa badala ya kuongezeka.

Huelewi wapi hapo?
 
Hata kama kipato cha mtanzania kitakuwa kati ya milioni 12-20 ifikapo mwaka 2050, bado kinaweza kuonekana kuwa ni umaskini kwa wakati huo. Hii ni kwa sababu ya kupungua kwa dhamani ya pesa kutokana na mfumuko wa bei na gharama za maisha kupanda na mabadiliko mengine ya kiuchumi.
Nani kukwambia mfumuko wa bei utakuwa mkubwa?
 
Yawezekana makadirio hayo yakaongeza Uchumi kwenye makaratasi huku kihalisia wachina, waarabu na wageni wengine.
Lazima serikali iwe na sera ya kuwafanya wananchi wake mabilionea kivitendo badala ya wageni kufaidi raslimali zaidi.
Hata Sasa hizo sera zipo na ndivyo inafanya
 
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Wakati huo 20m kwa mwaka itakuwa kama milioni kwa sasa.
 
bila kusahau kilo ya sukari itakuwa 20,000/-tsh
 
Umeandika pumba sana ,Tulia unadike vizuri

Tatizo lenu ni uchawa tu hamjui Finance kabisa thamani ya hizo Dollar kwa mwaka kwa mtu kwa miaka 25 ijayo 2050 ni sawa na kiasi gani sasa? Wenzio niwabobea wa Finance ! wewe piga kelele
 
Back
Top Bottom