Makada makanja nja Kama wewe hawatufai awamu hii ya mwendo wa hapa kazi TU.Hii kitu inauma sana, sisi makada tunahangaika kutetea chama ila vyeo wanapewa wapuuzi tu wasiojua uchungu wa chama.
Ndio maana kada mwenzangu Troll JF kaamua kukaa kimya!
Daaa ina maana CCM yenye wanachama 8m+ haina watu wanaofaa kwa uteuzi mpaka i-outsource?Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.
Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.
Na tusubiri muda utaongea!.
Wanasiasa wetu wanavunja moyo!!Makada makanja nja Kama wewe hawatufai awamu hii ya mwendo wa hapa kazi TU.
Utendaji na ufanisi uliotukuka indio key factor ndani ya CCM mpya.
Kidumu Chama
Hapa Africa ukijifanya mpinzani saaana utakufa maskini ,na utasahaulika bora uwe ndumilakuwili au tapeli wa siasa utakula meza moja na wakuu.Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.
Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.
Na tusubiri muda utaongea!.
Kwani David ana undumilakuwili gani?!Hapa Africa ukijifanya mpinzani saaana utakufa maskini ,na utasahaulika bora uwe ndumilakuwili au tapeli wa siasa utakula meza moja na wakuu.
Mkuu umesahau habari ya " vipaji" maalum!Daaa ina maana CCM yenye wanachama 8m+ haina watu wanaofaa kwa uteuzi mpaka i-outsource?
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.
Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.
Na tusubiri muda utaongea!.
Aisee!!!Labda akapewe ukuu wa masjala ya mahakama ya mafissadi ili mafaili ya kesi yasikimbie ukuu wa wilaya ulishajazwa na kina jeni muroho u
Masha uadilifu wake unatiliwa shaka labda akatumikie chama lakini siyo serikali!Ndio alichokifata uko Ccm, Masha na wenzake watapewa vyeo siku sio nyingi.
WAHA MNA SHIDA.BONGO KUWEPO NI BAHATI MBAYA.KILA KITU NI BANYAMULENGEKuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.
Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.
Na tusubiri muda utaongea!.
Kwani nani anayeshangaa?!!! Kama hawakumshangaa Prof Kitila wanaanzaje kumshangaa David?Sio kitu cha kushangaza Lowasa,Sumaye,Masha,Mgeja waliingia Chadema siku moja wakakaribishwa hadi chumbani kwa kupewa ujumbe wa kamati kuu,sembuse Kafulila kupewa uRC??
Angekuwa zitto Mara hoo msaliti cheni ubaguzi inatakiwa watu tujifunze sana siobendera kufata upepo siasa za tz zinaharufu ya undKafulila atatufaa sn pale lumumba.
Kijana Ana potential ya kueleweka.
Swala ni wale walimwita tumbili wamefanywa nn ccm ni ile usanii unaendelea wapo kwa ajiri ya matumbo yao na familia zao ni km ndugu zetu wazimbambwe km unafikiria kutakuwa na mabadiliko yyote unapoteza muda wako Emmerson Mnangagwa ni Hatari bora hata babuu subiri mienzi 6 tuanza kusikia vilio km leo tunavyomlilia mkwele...Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.
Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.
Na tusubiri muda utaongea!.