Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Kafulila ni jembe kwelikweliKafulila napenda anavyowasilisha hoja zake, Kazi nzuri Crde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafulila ni jembe kwelikweliKafulila napenda anavyowasilisha hoja zake, Kazi nzuri Crde
Kazi iendeleeKamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
Jamaa mwamba sana hata hivyoKafulila ni jembe kwelikweli
Kazi nzuri sana KafulilaKafulila napenda anavyowasilisha hoja zake, Kazi nzuri Crde
Kazi iendelee , Mama chapa kaziKamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
Good done at all,Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
Wako hoi sana Pinga pingaAkili kubwa Kafulila ngoja tuwasubiri pingapinga FC
Ni utapeli tupuVipi katika hizo alizozalisha ameshaanza kupunguza deni la Taifa?
Mbona tunaona katika kipindi chake limezidi kupaa?
Akili kubwa Kafulila ngoja tuwasubiri pingapinga FC
Too mbiliKamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
Mpina apate hiiKamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
Habari anayo, naona umeibukia huku 🤣Mpina apate hii
Mama mitano tenaHabari anayo, naona umeibukia huku 🤣
Ila wewe jamaa yangu unaropoka sana aaaaaaKafulila awahishwe Mirembe haraka ana tatizo la afya ya akili
HayaIla wewe jamaa yangu unaropoka sana aaaaaa
Kafu huu wako ni Utapeli wa mawazo sijui umelipwa nini kutetea kiasi hiki?:::::::
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa na kituo cha Utangazaji Cha Global TV alikuwa na haya ya kusema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
Msikilize kwa Utulivu hapa,
:::::::
Mpina naona siku zake zinahesabika CCMMpina apate hii