evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Hizo.zilizozalishwa si zikalipe deni?
Deni linaendelea kukua badala ya kupungua huyo TUMBILI anatuletea ujinga wake
Hi nchi itakuja kuuzwa tu manake madeni hayapunguo.
Nchi inaendeshwa Kwa mikopo lakini viongozi wanaishi maisha ya anasa Kwa fedha za hiyo mikopo
Deni linaendelea kukua badala ya kupungua huyo TUMBILI anatuletea ujinga wake
Hi nchi itakuja kuuzwa tu manake madeni hayapunguo.
Nchi inaendeshwa Kwa mikopo lakini viongozi wanaishi maisha ya anasa Kwa fedha za hiyo mikopo