Kafulila: Kwa miaka mitatu Rais Samia amekopa nje TZS 12.5T sawa US$ 5BL lakini amelizalishia Taifa TZS 47.5T sawa na US$19BL

Kafulila: Kwa miaka mitatu Rais Samia amekopa nje TZS 12.5T sawa US$ 5BL lakini amelizalishia Taifa TZS 47.5T sawa na US$19BL

Nimemsikiliza huyu Kafulila kwenye hayo mahojiano,

Nakubaliana kabisa ni kweli deni la Taifa limekua,

Lakini pia, Nimekubaliana kuwa ni kweli Uchumia wa Taifa pia umekuwa.

Hoja hapa deni limekuwa kwa kiasi gani na Uchumi umekuwa kwa kiasi gani?

Asante Kafulila
Safi sana
 
IMG_7341.jpeg


Ameingia March 2023 deni la taifa $31.4 billion.

IMG_7342.jpeg

Source ☝️

Hadi December 2023 deni limefika $41.8 billion. Chini ya miaka mitatu amekopa zaidi ya $10.4 billion kiasi ambacho Magufuli kakopa kwa miaka 6 walau hela ilionekana ilichofanyia.

Hizo data last updated January 2024 sasa hivi BoT wakitoa new update atakuwa keshapita $12 billion za kukopa yeye mwenyewe kwa miaka mitatu tu.
 
Hakuna nyumbu wa CHADEMA anayeweza kupangua hoja hizo nzito za Mheshimiwa Kafulila. watakachoweza nyumbu ni kutukana matusi tu. Ngoja nimwite Erythrocyte

Erythrocyte njoo huku usikilize hoja.
Kafulila alikuwa ababeba mafaili dk slaa we ndo unajivunia Leo kuwa naye
 
View attachment 2948655

Ameingia March 2023 deni la taifa $31.4 billion.

View attachment 2948660
Source ☝️

Hadi December 2023 deni limefika $41.8 billion. Chini ya miaka mitatu amekopa zaidi ya $10.4 billion kiasi ambacho Magufuli kakopa kwa miaka 6 walau hela ilionekana ilichofanyia.

Hizo data last updated January 2024 sasa hivi BoT wakitoa new update atakuwa keshapita $12 billion za kukopa yeye mwenyewe kwa miaka mitatu tu.
Kafulila kuzungumzia deni la nje tu ,
 
Uongo mweupe tu wa michawa hii.
Nyie kuleni kwa kamba zenu msitupoteze maboya huku.
 
Kafulila kuzungumzia deni la nje tu ,
Deni la nje sio deni pekee la serikali ni misleading keshakopa $10.4 billion hiko ndio kiasi cha deni ambacho utakikuta DMO wizara ya fedha na ndipo BoT walipopata hizo takwimu zao.

Ukitaka kukopa tena nje au ndani uwezi kusema nimekopa $5 billion tu na ndani 5.4 billion hiko sio kigezo cha kupima debt sustainability wanataka kujua unadaiwa kiasi gani in total na mpaka sasa atakuwa keshavuka $11 billion.

Kufanya selection ya deni ni misleading statement.

Mtangulizi alikuwa na wastani wa $1.67 billion kwa mwaka, maza mpaka wastani wake wa kukopa ni $3.67 billion kwa mwaka.
 
Hoja yako ni ipi!?

Rudia kusoma kilichoandikwa uelewe na uje na hoja

"Rais Samia amekopa nje TZS 12.5T sawa US$ 5BL lakini amelizalishia Taifa TZS 47.5T sawa na US$19BL"​


..kama Maza ana mapesa yote hayo kwanini halipi deni lote ili nchi isidaiwe?

..au kwanini asitusamehe kodi na tozo walau mwaka mmoja?

..nadhani Kafulila ana data lakini hajui kutafsiri kinachoelezwa ktk data.
 
..kama Maza ana mapesa yote hayo kwanini halipi deni lote ili nchi isidaiwe?

..au kwanini asitusamehe kodi na tozo walau mwaka mmoja?

..nadhani Kafulila ana data lakini hajui kutafsiri kinachoelezwa ktk data.
Nia yako ni ipi hapo?
 
Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.

View attachment 2945755

Kura hazipatika JamiiForums ila zinatoka hukoooo mkoani, hizi Takwimu zinamufaishaje mtu wa Kantalamba?
 
Back
Top Bottom