ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
Kama tunakopa na vitu vinaonekana shida iko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania inapiga hatua sana ,Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
Hizo USD 19 Kaziiba wapi masikini mama yao?Mtu akiwa nje ya ccm unaweza kufikiri ana akili sana!
Oneni sasa huu uharo!
Unaziibaje tena, au Mikopo imekuza uchumi?Hizo USD 19 Kaziiba wapi masikini mama yao?
Kafulila anastahili pongeziKamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
Safi sanaNimemsikiliza huyu Kafulila kwenye hayo mahojiano,
Nakubaliana kabisa ni kweli deni la Taifa limekua,
Lakini pia, Nimekubaliana kuwa ni kweli Uchumia wa Taifa pia umekuwa.
Hoja hapa deni limekuwa kwa kiasi gani na Uchumi umekuwa kwa kiasi gani?
Asante Kafulila
Tanzania yetuKamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755
Nchi ngumu sana hiiHizo USD 19 Kaziiba wapi masikini mama yao?
Hakuna shida kabisaKama tunakopa na vitu vinaonekana shida iko wapi?
Kafulila alikuwa ababeba mafaili dk slaa we ndo unajivunia Leo kuwa nayeHakuna nyumbu wa CHADEMA anayeweza kupangua hoja hizo nzito za Mheshimiwa Kafulila. watakachoweza nyumbu ni kutukana matusi tu. Ngoja nimwite Erythrocyte
Erythrocyte njoo huku usikilize hoja.
Kafulila sio levels zaoHakuna nyumbu wa CHADEMA anayeweza kupangua hoja hizo nzito za Mheshimiwa Kafulila. watakachoweza nyumbu ni kutukana matusi tu. Ngoja nimwite Erythrocyte
Erythrocyte njoo huku usikilize hoja.
Kafulila kuzungumzia deni la nje tu ,View attachment 2948655
Ameingia March 2023 deni la taifa $31.4 billion.
View attachment 2948660
Source ☝️Bank of Tanzania
www.bot.go.tz
Hadi December 2023 deni limefika $41.8 billion. Chini ya miaka mitatu amekopa zaidi ya $10.4 billion kiasi ambacho Magufuli kakopa kwa miaka 6 walau hela ilionekana ilichofanyia.
Hizo data last updated January 2024 sasa hivi BoT wakitoa new update atakuwa keshapita $12 billion za kukopa yeye mwenyewe kwa miaka mitatu tu.
Deni la nje sio deni pekee la serikali ni misleading keshakopa $10.4 billion hiko ndio kiasi cha deni ambacho utakikuta DMO wizara ya fedha na ndipo BoT walipopata hizo takwimu zao.Kafulila kuzungumzia deni la nje tu ,
Hoja yako ni ipi!?
Rudia kusoma kilichoandikwa uelewe na uje na hoja
"Rais Samia amekopa nje TZS 12.5T sawa US$ 5BL lakini amelizalishia Taifa TZS 47.5T sawa na US$19BL"
Nia yako ni ipi hapo?..kama Maza ana mapesa yote hayo kwanini halipi deni lote ili nchi isidaiwe?
..au kwanini asitusamehe kodi na tozo walau mwaka mmoja?
..nadhani Kafulila ana data lakini hajui kutafsiri kinachoelezwa ktk data.
Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL tu.
View attachment 2945755