Kafulila: Kwa Utafiti uliopo ndani ya miaka 25 ijayo Tanzania italazimika kujenga uchumi sawa au zaidi ya Afrika ya Kusini ya leo

Akishakuwa mwana-CCM hata awe muhamiaji atashika nafasi yoyote hakuna cha vetting.
 
Mkuu mwanza imepakana na nchi gani jirani?Ama unataka kusema Mara ni nchi nyingine?
 
Akishakuwa mwana-CCM hata awe muhamiaji atashika nafasi yoyote hakuna cha vetting.
Sio kweli nadhani asitoke huko kulee kanda ya ziwa Tanganyika au jirani awe mkoa wowote Vetting yake kwa sasa ni ya kufa mtu kama walikatiza ni huko nyuma na kama yuko yeyote ana post sasa hivi akimaliza muda wa hiyo post kwa heri ya kuonana awasalimie kwao hakuna re appointment yeyote itafanyika hivyo atunze vizuri anachopata sababu hatarudi tena post yeyote
 
Hizo tafiti hazitajiki? Kafanya Nani hizo tafiti? Wapi?
 
Hawa wanasiasa maneno lukuki vitendo hafifu sio wa kuwaamini sana wakikabidhiwa minofu wanasahau kabisa wananchi
 
Hawa wanasiasa maneno lukuki vitendo hafifu sio wa kuwaamini sana wakikabidhiwa minofu wanasahau kabisa wananchi
Ni baadhi yao tu lakini wengi wao ni watu wa watu.

Hii nchi Leo iko na maendeleo haya kwa sababu ya watu.
 
Huyu mtafiti huru apewe walau u DC jamani - kazi anayoifanya ni kubwa.
 
Kafulila ni chawa tu hakuna mwenye akili anayemsikiliza
 
Kafulila ni Mwamba sana
 
Dalili za mtu tapeli ni matumizi ya body language isivyohitajika..unarusha rusha mikono pasina sababu..anafeel maneno tu hayatoshi! Tapeli!
 
Tatizo la huyu kaka ni hilo tu ila ni mtu mwenye maono ya mbali sana
Mpeni ubunge kwao alikotoka..afanye kwanza huko hayo anayodhani kichwani mwake, akifanikiwa..bas hata kitaifa atafanikiwa, mengi anayoongea ni km fictional..unaweza kuvutiwa kuyasikiliza lkn t doesn't make sense at all!
 
Dalili za mtu tapeli ni matumizi ya body language isivyohitajika..unarusha rusha mikono pasina sababu..anafeel maneno tu hayatoshi! Tapeli!
Kwani kuongea kwa kurusha rusha mikono ni kosa?
 
Mpeni ubunge kwao alikotoka..afanye kwanza huko hayo anayodhani kichwani mwake, akifanikiwa..bas hata kitaifa atafanikiwa, mengi anayoongea ni km fictional..unaweza kuvutiwa kuyasikiliza lkn t doesn't make sense at all!
Ubunge lazima apate hata hivyo kwani Wananchi wanamkubali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…