John Paul The Second
JF-Expert Member
- Apr 27, 2024
- 298
- 343
Walikuwa ni watu gani hao?Wakati akitawazwa kuwa chifu kule kigoma lile jimbo lake aligombea walimtawaza uchifu na baada ya kumtawaza chifu wakampa jina Chifu Nkunda wala sio siri tukio lilikuwa la wazi hadharani hawakufanyia chumbani
Safi sana Kafulila===
Akihojiwa na kituo Cha runinga Cha Clouds Media Group Mkurugenzi wa PPP -Centre Bw David Kafulila alikuwa na haya ya kusema "Tafiti zilionesha mwaka 2015 mahitaji ya miundombinu yaliyokuwepo mwaka 2015 yalijitosheleza kwa asilimia 30% tu ya mahitaji ya mwaka 2050.
Ukitazama mwenendo wa uchumi unaona kwamba Tanzania itahitaji kujenga uchumi mkubwa zaidi ya Afrika kusini ya leo ndani ya miaka 25. Hii inaokuonesha umuhimu wa kutumia PPP kufikia matarajio makubwa.
Tunachakata kupata mwekezaji kujenga barabara ya kisasa ya kulipia Kibaha - Chalinze mpaka Morogoro, wawekezaji wanajua pamoja na uwepo wa SGR ya kisasa bado mahitaji ya usafiri yataendelea kuwa makubwa kutokana na ukubwa wa uchumi unaojengwa "
=====
View attachment 3074274
Jamaa ni presidential material kabisa huyuSafi sana Kafulila
Jamaa Yuko vizuri tukiacha vijichoSafi sana Kafulila
Maswali yako nadhani ni ya watanzania wengi, unajiuliza kazi ya TIC ni nini sasa, anachoeleza Kafulila si ni uwekezaji ambayo ndio kazi ya TIC, hizi taasisi zinajichanganya zenyewe na ni matumizi mabaya ya kodi zetu.Mhhhhh......!!!! Kwanza najiuliza kwanini hii PPP iliundwa kama taasisi, ilifaa kuwa kuwa chini ya Tanzania Investment Centre kama kitengo. Haya mambo ya kafulia siyaelewagi. Huyu ndugu yake na Kibu hachelewi kutuingiza sokoni
Urundi wake unaonekana pale tu anapotaka kuwa rais.Inabidi tufunguke kiakili kwanza ndipo tutaendelea.
Obama, baba yake alikuwa Mkenya akachguliwa kuwa Rais wa Marekani.
Trump, baba yake alikuwa Mjerumani na mama yake Mdcotland akachuguliwa kuwa Rais wa Marekani.
Kamila Harris, baba Mjamaika, Mama Mhindi kwa sasa ni Makamu wa Rais and the next President of the USA.
Sasa kama Kafulila amezaliwa hapa, kakulia hapa anakuwaje bado ni Mrundi...!!?
Uwekezaji TIC ni 100% private ila PPP ni Gvnt na private Kila mmoja anakuwa na shareMaswali yako nadhani ni ya watanzania wengi, unajiuliza kazi ya TIC ni nini sasa, anachoeleza Kafulila si ni uwekezaji ambayo ndio kazi ya TIC, hizi taasisi zinajichanganya zenyewe na ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
And how do you decide on government shares through PPP; mfano kwenye shirika kama TANESCO?Uwekezaji TIC ni 100% private ila PPP ni Gvnt na private Kila mmoja anakuwa na share
HUU NI UNINAFSI TU WATU WA UPINZANIAkishakuwa mwana-CCM hata awe muhamiaji atashika nafasi yoyote hakuna cha vetting.
🤣🤣🤣Mkuu mwanza imepakana na nchi gani jirani?Ama unataka kusema Mara ni nchi nyingine?
Hahahaaaa, kule usipokuwa makini unaweza kuingiza ndg yake na Nkurunzinza kuwa Raisi. Hata zedzedkei naye wanasema ni mtiizedi wa kuungaungaHuko kwingine wanajitambua sana na hutii sheria bila shuruti
Watu waungwana sana sio wababe baby na dharau kama kwingine.Sio rahisi mgeni akapenya kufikia uraisi kutoka huko kwingine
Kigoma mtu aweza shika ila Vetting yake sio ya kitoto imekakamaa hasa
Mbona Phillip Mpango ni makamu wa Raisi na anatokea Kigoma
Raisi kutoka kigoma Yawazekana ila Vetting yake kali kuliko kwingine
Kafulila ni mtanzania kuwa na amaniHuyu angekuwa Raia angetufaa sana hata kwa Urais ila shida mrundi
Kwanini sio Raia?Huyu angekuwa Raia angetufaa sana hata kwa Urais ila shida mrundi
Kafulila ni Muha acha kupotosha wewe dada.Huyu angekuwa Raia angetufaa sana hata kwa Urais ila shida mrundi
Nadhani uwezo wako wa kielimu pia ni mdogo ndio maana huwezi kutofautisha kati ya TIC na PPPMhhhhh......!!!! Kwanza najiuliza kwanini hii PPP iliundwa kama taasisi, ilifaa kuwa kuwa chini ya Tanzania Investment Centre kama kitengo. Haya mambo ya kafulia siyaelewagi. Huyu ndugu yake na Kibu hachelewi kutuingiza sokoni
Yaleyale tu, maji ya kisima na maji ya mtoNadhani uwezo wako wa kielimu pia ni mdogo ndio maana huwezi kutofautisha kati ya TIC na PPP
Sahihi Kafulila ni Muha asiliKafulila ni Muha acha kupotosha wewe dada.
Sahihi Kafulila ni MuhaKafulila ni Muha acha kupotosha wewe dada.