😀😀😀
Nchi ngumu kwelikweli hii,
Angekaa kimya mngesema kisa kutumbuliwa hataki kumsemea Mama,
Kwani kuna wajibu wa kumsemea Mama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀
Nchi ngumu kwelikweli hii,
Angekaa kimya mngesema kisa kutumbuliwa hataki kumsemea Mama,
Mama amejitahidi sana aisee japokua kaikuta nchi ikiwa katika janga la corona pia vicha vya ukraine nchi nyingi ziliyumba kiuchumi lakini Tanzania imesimama chini ya Rais Samia Suluhu kweli mama anaupiga mwingiWakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
👇👇👇
View attachment 2365046
Sure kwa maendeleo haya aliyofanya mama 2025 hana mpinzaniIla huyu Mama anajitahidi Sana tukiacha chuki zetu za kijinga kijinga,
Mauzo kuongezeka kwa trilioni 6 sio jambo dogo,
2025 kura yangu anayo huyu Mama
Bado wanamawazo ya kizamani et mwananume ndio anafanya kazi nzuri lakni mama amewa prove wrong yani amefanya kazi ambayo ingefanyika ata kwa miaka mi3 lakin yeye amefanya ndani ya siku 553 wazungu wanasema "what a man can do, a woman can do better"Hakika Mama anaupiga mwingi mno, Tatizo la Watanzania Ni mfumo dume tu ila kazi inafanyika kwa Rais Samia
Wakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2365046
Jikite kwenye mada shangazi unayetembea bila shanga kiunoni, unapokwenda ni mbali kabisa na mada husika.We mamdogo nimekuita hapa!!?
au unataka ww na mwinzio niwapige three some/kachumbari. Unaweza kujiandaa kwa kutoa hicho kibukta cha ndani
Binuka tu huna nna......Jikite kwenye mada shangazi unayetembea bila shanga kiunoni, unapokwenda ni mbali kabisa na mada husika.
Kafulila yuko vizuri,Wakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
👇👇👇
View attachment 2365046
Mnapoishiwa cha kuongea mara moja mnakimbilia matusi.Binuka tu huna nna......
😁😁😁Pambana mzee Kafulia tuko pamoja hali si hali
Wewe Chawa wa CDM Unasemaje?Chawa wa Ccm huyo
Hawa wanalamba asali watamchagua lazimaNi mpumbafu tu ndio atamnyima kura Samia,Naamini hata Mbowe na Lissu watamchagua must,
Kwani watu kumsemea nako iwe nongwa?Kwani kuna wajibu wa kumsemea Mama?
Wakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2365046
Kwani watu kumsemea nako iwe nongwa?
Tatizo liko wapi kama mtu atajitokeza na kumsemea Mama vizuri?Umeandika kama wale ndugu wanaonukuu kifungu kimoja kwenye msahafu na kukomaa nacho.
Rejea chimbuko la nilichoandika kujridhisha ulichoandika kuwa na mantiki.