Tatizo liko kwenye style na hasa kama lengo ni fursa za kiu zaidi.Tatizo liko wapi kama mtu atajitokeza na kumsemea Mama vizuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo liko kwenye style na hasa kama lengo ni fursa za kiu zaidi.Tatizo liko wapi kama mtu atajitokeza na kumsemea Mama vizuri?
Kweli kabisa Rais Samia Suluhu amefanya maendeleo mengi sana tena katika sekta muhimu zinazomlenga direct mwananchiKwayanayoendelea hapa Jf, Unaweza Unadhani Rais hafanyi lolote, Ukweli Ni kwamba Rais huyu anafanya kazi kubwa Sana ever,
Wanaomsemea sio Sawa kuwashambulia wao badala ya hoja zao,
Naungana na Wewe kwa 100%Kweli kabisa Rais Samia Suluhu amefanya maendeleo mengi sana tena katika sekta muhimu zinazomlenga direct mwananchi
Kupe at work , kweli kitaa kugumuWakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2365046
Ugumu wa nini?Kupe at work , kweli kitaa kugumu
Ngedere anahangaika sanaWakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2365046
Wewe kina kutesa nini? Mnataka kunyamazisha kila mmoja?Ngedere anahangaika sana
Pendekeza styleTatizo liko kwenye style na hasa kama lengo ni fursa za kiu zaidi.
Protocol kwa vibarua vya serikali au? unataka heshima na pesa anzisha kampuni yako sio kuvizia vibarua vya serikali utakufa maskini tuu au uwe mwizi tuu utishie washamba wenzakoUnafahamu Protocol mjomba? Au kisa bando ni lako !!
Kuhusu kuanzisha kampuni yako Mimi nakuunga mkono japo sio Sawa kudharau walioajiliwaProtocol kwa vibarua vya serikali au? unataka heshima na pesa anzisha kampuni yako sio kuvizia vibarua vya serikali utakufa maskini tuu au uwe mwizi tuu utishie washamba wenzako
Ngoja ngedere walambe teuzi kwanzaPendekeza style
Kuhusu kuanzisha kampuni yako Mimi nakuunga mkono japo sio Sawa kudharau walioajiliwaProtocol kwa vibarua vya serikali au? unataka heshima na pesa anzisha kampuni yako sio kuvizia vibarua vya serikali utakufa maskini tuu au uwe mwizi tuu utishie washamba wenzako
Insue sio teuzi Insue ni Uzalendo kwa Taifa,Ngoja ngedere walambe teuzi kwanza
Insue sio teuzi Insue ni Uzalendo kwa Taifa,
huyu bwana ni mzalendo mno tangu Escrow, Tuache unafiki,Tangu lini ngedere akawa mzalendo? Suala ni teuzi.
huyu ni Mzalendo wa Kweli, Vijana tunalakujifunza toka kwakeTangu lini ngedere akawa mzalendo? Suala ni teuzi.
huyu bwana ni mzalendo mno tangu Escrow, Tuache unafiki,
😀😀😀Mimi ni Kafulila?Sawa Mh. Kafulila
Jamaa anazo chembe chembe za Uzalendo,Kuhusu kuanzisha kampuni yako Mimi nakuunga mkono japo sio Sawa kudharau walioajiliwa
Insue sio teuzi Insue ni Uzalendo kwa Taifa,