Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20240510-WA0199.jpg

Habari JF,

Pamoja na kelele nyingi dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka, Wapinzani wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!

Taarifa hii ya IMF naamini itakuwa si njema sana kwao kwani wakati wote na popote namba huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo au uzushi hasa kwa wale wasiolitakia mema Taifa hili.

=========

Katika ukurasa wake wa twitter (X) zamani tweeter Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya kwa ufupi ( soma hizo tweet tatu hapo chini kwa makini)

Kwa niaba yangu na familia nzima ya JF naomba kumpongeza sana Mhe David Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri yote ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina mengi anayoitwa mara aitwe Chawa Promax , mara aitwe mgane et Al.
IMG-20230920-WA0000.jpg
IMG-20250312-WA0943(1).jpg
IMG-20250312-WA0944(1).jpg
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchi Bw David Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Utasikia ni chawa wa mama 😂😂
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchi Bw David Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
saalale..........amewachokoza wutusi na watukani kwa hoja nzito namna hii?
sikilizia waanze kukurupuka huko 😀 😀
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchi Bw David Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025


Sasa naelewa kwanini AG mstaafu Werema alimuita tumbili
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchi Bw David Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Daah
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchi Bw David Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Ni kweli kabisa kwenye mifuko na matumbo Yao uchumi umekuwa kwa Kasi
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchi Bw David Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Usiamini vituko vya tumbili akishatupiwa ndizi mbivu.
 
Back
Top Bottom