Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
May we see your source?Zwazwa Kenya moved from 110 to 118b while your country from $67bn to mere $85bn is this what gives you orgasm? This is pre-mature ejaculation
Kwani mpaka leo anakusanya madeni?Anatofauti gani na yule aliyekuwa anakusanya madeni na kuja kutuambia kuwa wamevunja rekodi ya ukusanyaji mapato?
Samia ndio Rais wa 2025-2030 kwani kazi anazofanya kama sio katiba tungemuacha hadi 2035 walau.Kwani mpaka leo anakusanya madeni?
Jomba mambo sio rahisi tafuta hela kwani Magu yeye aligawa hela?Tokea aondoke magu bei ya vitu imepaa balaa
Unga,mchele,mafuta,nauli hadi maharagr bei ipo juu
Kwani uchumi ukikua kinachokuza huo uchumi ni vipato vya nani Sasa kama sio watu?
View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1703316881224982996?t=qexMYsb1RYOuPjxcmzDiTg&s=19
Wanasiasa malaya malaya kama Kafulila hawatufai.Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Aliye muongo zaidi ndo hupewa teuziHabari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Nafikiri chawa ndio nyani wenyewe🤣Mnatuona Nyani
Kuwa chawa hakubadili kitu kwenye hizo figures, zitaendelea kusomeka hivyo Hadi unakuta.Huyo ni chawa
Ukuaji wa uchumi utafsiriwe na maendeleo ya watu, Si kama ilivyo sasa hali ya maisha ya Watanzania ni ngumu mno.Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Mkeo amekurithisha wivu wa ke 🤣🤣Huyu mjinga ameona hasikiki anatafuta kukumbukwa kwenye ubunge