Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Bora mimi wewe mumeo amekurithisha nini?Mkeo amekurithisha wivu wa ke 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora mimi wewe mumeo amekurithisha nini?Mkeo amekurithisha wivu wa ke 🤣🤣
Rais wa DP World.Samia ndio Rais wa 2025-2030 kwani kazi anazofanya kama sio katiba tungemuacha hadi 2035 walau.
Hapo si yupo kwenye V8 mkuu hajui hata bei ya petrolHuyu TUMBILI anatuona sisi ni TUMBILI wenzie.
Wakati anaongea hivyo anategemea mwisho wa mwezi kuna 6M itaingia nje na posho huyo mtu kwanini asiseme uchumi upo vizuri?Ukuaji wa uchumi utafsiriwe na maendeleo ya watu, Si kama ilivyo sasa hali ya maisha ya Watanzania ni ngumu mno.
Wewe unadhani kujenga mashule 1,000 Kwa mwaka mmja ni maendeleo ya punda au? 😂😂Ukuaji wa uchumi utafsiriwe na maendeleo ya watu, Si kama ilivyo sasa hali ya maisha ya Watanzania ni ngumu mno.
Unataka Serikali iwagawie V8 na mil.6 🤣🤣Wakati anaongea hivyo anategemea mwisho wa mwezi kuna 6M itaingia nje na posho huyo mtu kwanini asiseme uchumi upo vizuri?
Wewe unadhani kujenga mashule 1,000 Kwa mwaka mmja ni maendeleo ya punda au? 😂😂
View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1703398658975117780?t=zFTfKnj6jiw-DpegMhEsbw&s=19
Kuchapa kazi na sio kulalamika kama Ke 😂😂Bora mimi wewe mumeo amekurithisha nini?
Wanaishia kuwa kama MALAYA WA BAA, wao danga watalisifia tu, pombe na nyama si wanakula.Hapo si yupo kwenye V8 mkuu hajui hata bei ya petrol
Kuandika uongo kwa ajili ya kusubiria teuzi ni kuchapa kazi?Kuchapa kazi na sio kulalamika kama Ke 😂😂
Pesa ipo tatizo liko wapi? Mbona madarasa ya yanajengws huko Vijijini Kila kukicha?AHADI.Kumbuka mipango si matumizi,Kingwendu alishasema.
Uongo upi Sasa? Kafulila ndio WB? Wivu wa ke 🤣🤣🤣Kuandika uongo kwa ajili ya kusubiria teuzi ni kuchapa kazi?
Tulia kwa mumeo hakuna shidaKuchapa kazi na sio kulalamika kama Ke 😂😂
Hawana namna kitaa kugumu snWanaishia kuwa kama MALAYA WA BAA, wao danga watalisifia tu, pombe na nyama si wanakula.
😆😆😆 Yaani nimecheka aiseUongo upi Sasa? Kafulila ndio WB? Wivu wa ke 🤣🤣🤣
Kwa mumeo Kuna shida?Tulia kwa mumeo hakuna shida
Vijembe vyako na uhalisia wa maisha ya Watanzania walio wengi ni tofauti kabisa labda wewe uko sayari nyingine.Uongo upi Sasa? Kafulila ndio WB? Wivu wa ke 🤣🤣🤣
Yeye analetewa na mume wakeVijembe vyako na uhalisia wa maisha ya Watanzania walio wengi ni tofauti kabisa labda wewe uko sayari nyingine.