Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Vipi maisha ya watu? Vipi vipato vya watu mmoja mmoja wana pesa mifukoni?
Mpaka Marekani masikini wapo. Kumbuka maoni ya wanafunzi wa Yesu juu ya mafuta ya thamani kubwa sana yule kahaba aliyotumia kufuta miguu ya Yesu badala ya mafuta hayo kupigwa bei na fedha hizo kwenda kusaidi masikini. Yesu aliwaambia masikini mnao siku zote. Kadri uchumi unavyokuwa gape la masikini litapungua.
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Huyu nae Hana mpya, amekuwa kama Malaya tu, Danga lazima litamsifia bwana anaelinunulia bia.
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
CM1774858 nakukubali sana tu
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Hongera sana Rais Samia acha waongee wewe chapa kazi tu
 
Anatafuta uteuzi maana ukijipendekeza lazima upewe shavu.
Kumbuka aliondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa wa Simiyu.
 
Wanaposema uchumi umepanda ni wao,sio wako.
Watanzani bwana,

Hivi mnataka nini ifanyike ndio muamini uchumi unakua,

Tanzania mambo yako sawa mno,

Hebu angalieni huko Kenya,

Angalia Ethiopia

Angalia Uganda
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Kafulila Kuuza Kwa wazungu ni mbaya sana afadhari Kwa waarabu.
 
Watanzani bwana,

Hivi mnataka nini ifanyike ndio muamini uchumi unakua,

Tanzania mambo yako sawa mno,

Hebu angalieni huko Kenya,

Angalia Ethiopia

Angalia Uganda
hao wote wamefeli kama sisi,tunataka kua kama singapore
 
Back
Top Bottom