Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sawa dada anguIla wewe jamaa lazima utakuwa ni kichaa aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa dada anguIla wewe jamaa lazima utakuwa ni kichaa aisee
Maendeleo huwa wanayaona mafisadi na wateule wa maza pekeeKila siku umeme unakatika si chini ya mara sita kwa siku,hapo utasema kuna maendeleo kwenye ulimwengu huu unaotegemea teknolojia?
Mpaka Marekani masikini wapo. Kumbuka maoni ya wanafunzi wa Yesu juu ya mafuta ya thamani kubwa sana yule kahaba aliyotumia kufuta miguu ya Yesu badala ya mafuta hayo kupigwa bei na fedha hizo kwenda kusaidi masikini. Yesu aliwaambia masikini mnao siku zote. Kadri uchumi unavyokuwa gape la masikini litapungua.Vipi maisha ya watu? Vipi vipato vya watu mmoja mmoja wana pesa mifukoni?
CHADEMA inawapa depression vijana wengi hasa weweSawa dada angu
Ndiyo maana wewe upo UVCCM kama chawaCHADEMA inawapa depression vijana wengi hasa wewe
Wewe ni mpumbavu kwa hiyo na sisi unataka tuwe wagomvi kama Russia,mtegemea cha nduguye hufa angali maskini.Umeme inakatika Hadi Russia sembuse Tanzania?
Huyu nae Hana mpya, amekuwa kama Malaya tu, Danga lazima litamsifia bwana anaelinunulia bia.Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
CM1774858 nakukubali sana tuHabari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Wewe ndio Lissu mwenyewe,naona unapuyanga TUZwazwa Kenya moved from 110 to 118b while your country from $67bn to mere $85bn is this what gives you orgasm? This is pre-mature ejaculation
Hongera sana Rais Samia acha waongee wewe chapa kazi tuHabari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Ungekuwa hujala ungepata wapi mda wa kuropoka hapa jf?Watanzania Wengi hata maji ya kunywa shida sembuse uhakika wa mlo wa siku.Hatuli matakwimu machawa
Mapovu ya wivu chuki na maumivu 🤣🤣Huyu nae Hana mpya, amekuwa kama Malaya tu, Danga lazima litamsifia bwana anaelinunulia bia.
😀😀Wewe ndio Lissu mwenyewe,naona unapuyanga TU
Watanzani tunamatatizo sanaMapovu ya wivu chuki na maumivu 🤣🤣
Tuache kulalamika tufanyeni kazi kwa bidii tatizo kuchagua kaziVijembe vyako na uhalisia wa maisha ya Watanzania walio wengi ni tofauti kabisa labda wewe uko sayari nyingine.
Mungu akubarikiSafi sana Kafulila tunataka wateule wanaofafanua mambo mazuri ya Rais wetu sio kurandaranda na v8 tu
Watanzani bwana,Wanaposema uchumi umepanda ni wao,sio wako.
Kafulila Kuuza Kwa wazungu ni mbaya sana afadhari Kwa waarabu.Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
hao wote wamefeli kama sisi,tunataka kua kama singaporeWatanzani bwana,
Hivi mnataka nini ifanyike ndio muamini uchumi unakua,
Tanzania mambo yako sawa mno,
Hebu angalieni huko Kenya,
Angalia Ethiopia
Angalia Uganda