WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kumbe!Yeye analetewa na mume wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe!Yeye analetewa na mume wake
Jishughulishe kwenye fursa zilizopo kwenye sekta za kilimo, biashara, uvuvi, utalii, madini nk.Vipi maisha ya watu? Vipi vipato vya watu mmoja mmoja wana pesa mifukoni?
YapKumbe!
Kwani wewe ndo unamlisha?.Watu wanaongelea maisha ya jumla ya wananchi walio wengi wewe unawaza maisha ya ubinafsi wa mtu mmoja mmoja.Hakuna ambaye hafanyi kazi ila kinacholalamikiwa ni zaidi yakufanya kazi.Jishughulishe kwenye fursa zilizopo kwenye sekta za kilimo, biashara, uvuvi, utalii, madini nk.
Kushinda JF kuikosoa Serikali hakuwezi kukuletea fedha mfukoni. Utaishia kulalamika tu na kuwashangilia akina Tundu Lissu na Mdude wakifurusha matusi
Fanya kazi acha kuchanua vidole viwili kilawakatiUkuaji wa uchumi utafsiriwe na maendeleo ya watu, Si kama ilivyo sasa hali ya maisha ya Watanzania ni ngumu mno.
Kazi nzuri Rais Samia kazi nzuri mchambuzi Kafulila.Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Wakati wa Mama pesa ipo sana tu labda uwe hutaki kufanya kaziKwani wewe ndo unamlisha?.watu wanaongelea maisha ya jumla ya wananchi walio wengi wewe unawaza maisha ya ubinafsi wa mtu mmoja mmoja.Hakuna ambaye hafanyi kazi ila kinacholalamikiwa ni zaidi yakufanya kazi.
Hata kwa Magufuri mlikuwa mnasema hivi hivi baada ya Magufuri kufariki mkageuka na kuanza kumnanga kweli ninyi ni kunguni.Nyerere alikataza sana Ukupe lakini hamtaki kusikia mpaka mtakapoolewa na Waarabu wa Dubai ndipo akili zitakapowakaa sawa.Wakati wa Mama pesa ipo sana tu labda uwe hutaki kufanya kazi
Kila siku umeme unakatika si chini ya mara sita kwa siku,hapo utasema kuna maendeleo kwenye ulimwengu huu unaotegemea teknolojia?Wivu wa ke 🤣🤣🤣,mnazisi kupata aibu.
]
Umeme inakatika Hadi Russia sembuse Tanzania?Kila siku umeme unakatika si chini ya mara sita kwa siku,hapo utasema kuna maendeleo kwenye ulimwengu huu unaotegemea teknolojia?
Au siyo?Kafulila amefulia, njaa mbaya wajumbe
Ila wewe jamaa lazima utakuwa ni kichaa aiseeBora mimi wewe mumeo amekurithisha nini?
Hii nchi ni tajiri sana,sema inaliwa na watu wachache!Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Maisha ya walio wengi yamefanyaje?Kwani wewe ndo unamlisha?.watu wanaongelea maisha ya jumla ya wananchi walio wengi wewe unawaza maisha ya ubinafsi wa mtu mmoja mmoja.Hakuna ambaye hafanyi kazi ila kinacholalamikiwa ni zaidi yakufanya kazi.
Huyu mother anastahili pongezi sana,Mungu ambarikiHabari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Uandishi wake ukiusoma utagundua yuko frustrated na utawala wanawamu ya 6.Kwani wewe ndo unamlisha?.watu wanaongelea maisha ya jumla ya wananchi walio wengi wewe unawaza maisha ya ubinafsi wa mtu mmoja mmoja.Hakuna ambaye hafanyi kazi ila kinacholalamikiwa ni zaidi yakufanya kazi.
Sahihi kabisaUandishi wake ukiusoma utagundua yuko frustrated na utawala wanawamu ya 6.