TrioNeTwork
JF-Expert Member
- Aug 7, 2022
- 444
- 382
Naunga mkono hoja,Kazi iendeleeTuache kulalamika tufanyeni kazi kwa bidii tatizo kuchagua kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja,Kazi iendeleeTuache kulalamika tufanyeni kazi kwa bidii tatizo kuchagua kazi
Hata kukusanya madeni ni kazi usichukue kama kazi rahisi,Anatofauti gani na yule aliyekuwa anakusanya madeni na kuja kutuambia kuwa wamevunja rekodi ya ukusanyaji mapato?
Sasa si angetaja vigezo vipi vimefanya uchumi ukue yaani hiyo GDP. Kilimo- hapana, trade hapana? FDI hapana. Bado tupo pale pale, heavy infrastructures investments zilizofanywa na JPM ndizo factor pekee kwa ukuzi huu na sasa tutaanza kuporomoka tena.Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
DP World ndio nchi gani mzee?Rais wa DP World.
Hata hivyo inabidi aende mpaka 35. Sababu hii anamshikia rais aliyepitaMama aende tu mpaka 2035 kama ndio hivi
Ukiweka Population....kwenye equation yake, utaona maajabu kama maajabu haya!Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Ni kweli umekua Hadi ukazifukuza Dola zote nchini! Ajabu hii!Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Wanatuona nyaniDaaah ila huyu Mama ni balaa kuwapita Uganda na Kenya sio mchezo
Wanaakili nyingiWhy Kigoma inaongoza kwa kuzalisha machawa
Ushauri uzingatiweJishughulishe kwenye fursa zilizopo kwenye sekta za kilimo, biashara, uvuvi, utalii, madini nk.
Kushinda JF kuikosoa Serikali hakuwezi kukuletea fedha mfukoni. Utaishia kulalamika tu na kuwashangilia akina Tundu Lissu na Mdude wakifurusha matusi
Uchumi bila umeme oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
AmenHuyu mother anastahili pongezi sana,Mungu ambariki
Hata mbuyu ulianza kama uyogahao wote wamefeli kama sisi,tunataka kua kama singapore
Great Mama foreverHabari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
View attachment 2753025
Mkapa ni Rais wa mfano Tanzania alifuta kodi ya kichwa na kodi za kijinga jinga na nchi ikawa kwenye ramani ya Dunia,hawa waliomfuatia baadaye wamekuja tu kuiharibu Tanzania na kunufaisha familia zao na maeneo wanakotokea.DP World ndio nchi gani mzee?
Mbona Mkapa alibinafsha kila kitu na husemi chochote?
Uongo uliopitiliza kabisa huuZwazwa Kenya moved from 110 to 118b while your country from $67bn to mere $85bn is this what gives you orgasm? This is pre-mature ejaculation