Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Lissu njoo ujibu hii Kafulila
 
Jishughulishe kwenye fursa zilizopo kwenye sekta za kilimo, biashara, uvuvi, utalii, madini nk.

Kushinda JF kuikosoa Serikali hakuwezi kukuletea fedha mfukoni. Utaishia kulalamika tu na kuwashangilia akina Tundu Lissu na Mdude wakifurusha matusi
Hapa umemaliza kila kitu mkuu
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Ukweli ni kwamba uchumi wa Tanzania uko vizuri
 
Kafulila yuko sahihi. Pia katika huo ukuaji tayari Lissu na Mbowe wamelipwa hela zao. Na chama chao kinajilia tu ruzuku
 
Huyu chawa anataka kutuaminisha nini?
Uchumi unakuaje hakuna umeme?
Uchumi unakuaje kila siku mnaona baadhi ya wilaya hakuna mafuta kabisa?
Ndio maana kaachwa kwenye mabulb.
 
Huyu chawa anataka kutuaminisha nini?
Uchumi unakuaje hakuna umeme?
Uchumi unakuaje kila siku mnaona baadhi ya wilaya hakuna mafuta kabisa?
Ndio maana kaachwa kwenye mabulb.
Umeambiwa namba hazidanganyi unahoji nini sasa?
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Ukipinga hizi TAKWIMU bora basi utuwekee zako.....
 
Kwa mapato ni ndio sana sana kwa utalii wa tz wanaendelea kuja wengi wazungu, kabisa saivi hakuna kushuka kwa utalii tanzania ila kinachonisumbua ni hiki je hali za wa tz wa hali ya chini zipoje??
 
Kwa mapato ni ndio sana sana kwa utalii wa tz wanaendelea kuja wengi wazungu, kabisa saivi hakuna kushuka kwa utalii tanzania ila kinachonisumbua ni hiki je hali za wa tz wa hali ya chini zipoje??
💪💪💪
 
Habari JF,

Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola,

Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima milele huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.

Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,

=========

Katika ukurasa wake wa twitter(X) Kamishna mkuu wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,


View attachment 2753025
Kafulila anajua sana huyu muha
 
Back
Top Bottom