Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029

Habari JF,

Pamoja na kelele nyingi dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka, Wapinzani wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!

Taarifa hii ya IMF naamini itakuwa si njema sana kwao kwani wakati wote na popote namba huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo au uzushi hasa kwa wale wasiolitakia mema Taifa hili.

=========

Katika ukurasa wake wa twitter (X) zamani tweeter Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya kwa ufupi ( soma hizo tweet tatu hapo chini kwa makini)

Kwa niaba yangu na familia nzima ya JF naomba kumpongeza sana Mhe David Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri yote ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina mengi anayoitwa mara aitwe Chawa Promax , mara aitwe mgane et Al.
 
Utasikia ni chawa wa mama 😂😂
 
saalale..........amewachokoza wutusi na watukani kwa hoja nzito namna hii?
sikilizia waanze kukurupuka huko 😀 😀
 


Sasa naelewa kwanini AG mstaafu Werema alimuita tumbili
 
Daah
 
Ni kweli kabisa kwenye mifuko na matumbo Yao uchumi umekuwa kwa Kasi
 
Usiamini vituko vya tumbili akishatupiwa ndizi mbivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…