Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Itakuwa US $ 10 billionsHivi US$ 1 billion = Tsh. 26 trillioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa US $ 10 billionsHivi US$ 1 billion = Tsh. 26 trillioni
😂😂😃 Mzee wa EscrowTumbiiri katika ubora wake
Samia apewe 10 tena,Kwani Pale Bungeni Kuna Wabunge wa Tanganyika wangapi?
Shida ya Rais hapo ni nini?
Fatma Karume: Mule Bungeni wabunge wa Zanzibar ni 50 tu na Watanganyika zaidi ya 250 😂😂😂
Bwashee Umemaliza Uzi ufungwe 😃Kwani Pale Bungeni Kuna Wabunge wa Tanganyika wangapi?
Shida ya Rais hapo ni nini?
Father Kitima na Lissu au Mwabukusi walikuwa wananufaikaje na Bandari hadi kupiga kelele namna hii ?Ukweli ni kwamba hiyo bandari miaka yote walifaidi watu wachache sana na ndio hao wanapiga sana kelele leo
Watafute uwaulize,Father Kitima na Lissu au Mwabukusi walikuwa wananufaikaje na Bandari hadi kupiga kelele namna hii ?
Sikiliza clip yake ndio msimamo wake,Huyu mwisho wa siku ataharibu hata kazi yake nzuri kwa uchawa. Watu hawajapinga PPP, wamepinga mkataba wa bandari kukiuka sheria za maliasili na uhuru wa nchi.
Umesema watu wanaopiga kelele ndiyo wachache waliokuwa wakinufaika na bandari.Watafute uwaulize,
Waulize pia,
Wanafahamu kuwa wafanyakazi wa bandari waliosha magari yao kwa Bia?
Wanafahamu kuwa wafanyakazi wa bandari Kila mmoja alitoka na 10M Kwa siku?
Wacha tuone na ya DP WORLD
Zote zakoPamoja na hii yangu? [emoji23][emoji23][emoji23]
Safi sana. Umenikumbusha ile topic ya rate and variation.1$ =2,600TZS