Kafulila: Tanzania ina miradi ya Ubia yenye thamani ya Jumla ya Tsh. Trilioni 2.6

Kafulila: Tanzania ina miradi ya Ubia yenye thamani ya Jumla ya Tsh. Trilioni 2.6

Tanzania inapiga hatua sana za kimaendeleo anayebeza analake jambo na huo ndio ukweli.
Juhudi za kufifisha yanayofanyika zinakwama.
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
Mungu mbariki Rais wa JMT.
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
HIVI HUYU KAFULILA MIAKA MIWILI OFISINI AONYESHE HATA MRADI MMOJA TU AMBAO AMEUFANIKISHA WA PPP …..AACHE KUFANYA SIASA KWENYE KAZI ZA KITAAALAMU …. KILA SIKU YUKO KWENYE MEDIA NA MANENO MENGI TU PERFOMANCE 00%
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
Kafulila twende kazi
 
Kwa lugha nyepesi, Wale wote wanaompigia kelele Rais Samia kuhusu faida na hasara za DP World wajue tu si yeye aliyeanzisha mambo ya Ubia na PPP

#SAMIA MITANO TENA
Ila siasa ni hatari sana aisee
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
Imeeleweka vizuri sana PPP
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
Kafulila ni mtu mzuri tangu zamani
 
HIVI HUYU KAFULILA MIAKA MIWILI OFISINI AONYESHE HATA MRADI MMOJA TU AMBAO AMEUFANIKISHA WA PPP …..AACHE KUFANYA SIASA KWENYE KAZI ZA KITAAALAMU …. KILA SIKU YUKO KWENYE MEDIA NA MANENO MENGI TU PERFOMANCE 00%
Kafulila kwani hata mwaka amemaliza kweli tangu ateuliwe?
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
Kwa maelezo anayoyatoa Kafulika huenda Mradi huu ukawa ni wenye manufaa zaidi hapo baadae
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
Nimemsikiliza Kafulila nimejifunza yafuatayo,

1. Tanzania inaweza kutumia Ubia kama nyenzo ya haraka ya kujiletea maendeleo yake,

2. Serikali iachane na miradi inahofuja pesa umma badala yake ikabidhiwe kwa Sekta binafsi Kwa njia ya UBIA

3. Serikali ijikite zaidi kwenye kutekeleza ile miradi ya ambayo si rahisi Kwa sekta binafsi kupewa,

Swali,

1. Upi msimamo wa Sheria na ownership Kwa wanaosimamia mikataba hii badala yetu

2. Kuna kuzingatia muda wa mkataba usiwe mrefu ili wakizingua tunawamwaga?

Nawasalisha
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
40.6 out of 114 ni karibu na nusu,
Tunaweza kusema Ubia ni nusu ya Fedha za Serikali katika miradi ya maendeleo, Asante Kafulila Ubia ufafanuliwe zaidi
 
Nimemsikiliza Kafulila nimejifunza yafuatayo,

1. Tanzania inaweza kutumia Ubia kama nyenzo ya haraka ya kujiletea maendeleo yake,

2. Serikali iachane na miradi inahofuja pesa umma badala yake ikabidhiwe kwa Sekta binafsi Kwa njia ya UBIA

3. Serikali ijikite zaidi kwenye kutekeleza ile miradi ya ambayo si rahisi Kwa sekta binafsi kupewa,

Swali,

1. Upi msimamo wa Sheria na ownership Kwa wanaosimamia mikataba hii badala yetu

2. Kuna kuzingatia muda wa mkataba usiwe mrefu ili wakizingua tunawamwaga?

Nawasalisha
Umeongea ya kweli ngoja tusubiri Majibu.
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
Ni nzuri sana hii
 

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni,

TZS 40.6Trilioni zitatoka katika Sekta binafsi Kwa kutumia JV, UBia na Utaratibu Mwingine Serikali itakaoona unafaa.

Mkurugenzi huyo wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila amefafanua kuwa Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.
Good move guys
 
Back
Top Bottom