Kafulila: Tanzania ina miradi ya Ubia yenye thamani ya Jumla ya Tsh. Trilioni 2.6

Kafulila: Tanzania ina miradi ya Ubia yenye thamani ya Jumla ya Tsh. Trilioni 2.6

Hawa kenge wa ccm, wanajifanya kama hamnazo vile, ishu hapa sio sheria zilitungwa lini, hiyo sio hoja, Sisi tunauliza kwa nini awamu ya sita, samia ameamua kuuza bandari zetu, kwa, wa Arab kwa mikataba yenye mashaka? Kenge wa ccm, badala ya kujibu swali wao wanakuja kusema, unajua hz sheria za kubinafsisha hazikutungwa na awamu ya sita!
Sie kwetu issue ni mikataba ni ya mashaka, isitishwe! Wao, wanakijibu hz sheria hatujatunga Sisi awamu ya sita! Hata kama zilitungwa wakati wa, Yesu, tumeishawaambia ni mbovu kwanini mnazitekeleza?
Sasa hv samia, atatumia wa Tanganyika kupeperusha propaganda ili mradi tu watunishe matumbo Yao!
Too late. Hatuwezi kuendelea na Bandari kwa mfumo ule ambao Watanzania mligeuza kuwa shamba la bibi.

Ubinafsishaji huonekana kama mbaya mwanzoni lakini muta appreciate kuwa yalikuwa ndiyo maamuzi bora kabisa kuwaleta DP WORLD.

Hata ubinafsishsji wa NBC, TCC na TBL haukuwa mwepesi kihivyo. Watu walipinga sana lakini sasa hivi TBL, TCC, NMB ndiyo makampuni yanaongoza kulipa kodi na gawio kwa Serikali.
 
Safi sana. Umenikumbusha ile topic ya rate and variation.
1$=2600 Tsh
1000,000,000$=2600*1000,000,000
=2.6 Trillions TSH.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Nimesahau hiyo nukta pale kwenye heading ila kwenye habari Niko sahihi naona mkuu. 🤝🤝
 
Too late. Hatuwezi kuendelea na Bandari kwa mfumo ule ambao Watanzania mligeuza kuwa shamba la bibi.

Ubinafsishaji huonekana kama mbaya mwanzoni lakini muta appreciate kuwa yalikuwa ndiyo maamuzi bora kabisa kuwaleta DP WORLD.

Hata ubinafsishsji wa NBC, TCC na TBL haukuwa mwepesi kihivyo. Watu walipinga sana lakini sasa hivi TBL, TCC, NMB ndiyo makampuni yanaongoza kulipa kodi na gawio kwa Serikali.
Nakuunga mkono ndg yangu,

Pale bandarini Upigaji ulikuwa wa Kutisha aise,

Wacha inyeshe tuzibe panapovuja tu
 
Hajasema kuwa uwekezaji was fedha uliofanywa ukigawanya Kwa watz million 60,Kila MTU ana sh.ngapi!!?yaani Mimi hapa changu ni kiasi Gani kwenye huo mkataba!!?

Kauli ya "mzanzibari kauza Bandari ya Tanganyika"haiwezi kujibiwa hivyo,huko ni ku dodge the bullet!!
 
Hajasema kuwa uwekezaji was fedha uliofanywa ukigawanya Kwa watz million 60,Kila MTU ana sh.ngapi!!?yaani Mimi hapa changu ni kiasi Gani kwenye huo mkataba!!?

Kauli ya "mzanzibari kauza Bandari ya Tanganyika"haiwezi kujibiwa hivyo,huko ni ku dodge the bullet!!
Niwapi kajibu huo ukichaa wa CHADEMA , Kafulila sio mwanasiasa siasa fanyeni nyingi mnatosha,

#Hii speech ni more professional
 
Hajasema kuwa uwekezaji was fedha uliofanywa ukigawanya Kwa watz million 60,Kila MTU ana sh.ngapi!!?yaani Mimi hapa changu ni kiasi Gani kwenye huo mkataba!!?

Kauli ya "mzanzibari kauza Bandari ya Tanganyika"haiwezi kujibiwa hivyo,huko ni ku dodge the bullet!!
Mzanzibar kauza bandari ni kauli ya kibaguzi na kishenzi na haipaswi kuvumiliwa.

Maamuzi ni ya Rais kwa vile alivyoona inafaa ameamua kukodisha kwa mkataba wa miaka 30. Mbona TICTS walikuwa hapa Bandari kuanzia mwaka 1998 na hatujasikia kauli za Mmakonde kauza Bandari?

Au NBC kuingia ubia na RABO Bank ya Netherlands na kuwa NMB, mbona hatulalamiki?
 
Mkurugenzi wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema,Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.


View attachment 2989414
Aaha, kumbe hawa kina Kafulila na wenzake huko CCM wanatetea "AWAMU" na sio ubovu wa sera na mipango ya CCM na serikali yake kwa ujumla.

Wanazungumza kana kwamba hii nchi ilishatawaliwa na chama kingine wakati miaka yote 63 tangu 1961 na wao wenyewe. Hataki kusemwa kwa ubaya wao. Wanaanza kujitetea kwa mtindo wa "awamu" badala ya ubovu wa sera, mipango na mikakati ya CCM miaka yote hii.

Kuna m - CCM mwingine anaitwa Abdulhaman Kinana, yeye alimtetea Samia Suluhu Hassan kwa namna hii hii ya kijinga na kipumbavu kwa kigezo cha "awamu".

Kwamba kama ni uuzaji na ugawaji wa mali za Tanganyika haukuanza na awamu ya Rais Samia Suluhu Hassan. Walifanya kina Mwinyi, Mkapa, na Kikwete..

Akauliza kwanini lawama zinamwelekea Samia Suluhu Hassan pekee? Huu ni ubaguzi.!!

Hawa ndiyo CCM. Wamebanwa mpaka wanajitafuta na kujikuta wanakanyagana hovyo.

Nasema this time hakuna kurudi nyuma. Ni lazima jini litoke kwenye chupa.!
 
Huyu naye angekaa kimya kila siku na vimaneno vyake vya kichawa. Very stupid
 
Mkurugenzi wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema,Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.


View attachment 2989414
Kafulila ni jiwe sana, Kama Kuna mtu anamsaidia mama vizuri huenda akawa ni huyu jamaa
 
Too late. Hatuwezi kuendelea na Bandari kwa mfumo ule ambao Watanzania mligeuza kuwa shamba la bibi.

Ubinafsishaji huonekana kama mbaya mwanzoni lakini muta appreciate kuwa yalikuwa ndiyo maamuzi bora kabisa kuwaleta DP WORLD.

Hata ubinafsishsji wa NBC, TCC na TBL haukuwa mwepesi kihivyo. Watu walipinga sana lakini sasa hivi TBL, TCC, NMB ndiyo makampuni yanaongoza kulipa kodi na gawio kwa Serikali.
Napigia mstari yote uliyoandoka
 
Mkurugenzi wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema,Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.


View attachment 2989414
Great Kafulila, Mitano kwa Samia
 
Mkurugenzi wa Ubia nchini Bw David Kafulila ameliambia Taifa kuwa sera, Kanuni na Sheria zilizoanzisha PPP zimekuwepo hata kabla ya Ujio wa awamu ya Sita ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Kafulila anasema,Tanzania tayari inaendesha miradi kwa Ubia na Sekta binafsi yenye thamani ya US$ 1 billon sawa na karibu ya TZS 2.6 trilioni.

Mkurugenzi huyo ameendelea kwa kusema dhumuni la PPP na Ubia ni kuipa Serikali nafuu ya kutekeleza miradi mingine mingi ambayo ni muhimu zaidi lakini haiwezi kutekelezwa na Sekta binafsi Kwa mfano Mishahara ya Watumishi na mengineyo.


View attachment 2989414
Mr 2Mbili
 
UNAWEZAA KUFANYAA UNAWEZA KUTENDAAA MAMBOO MAKUBWAA ZAIDI YA NIOMBAVYOOOO X 3
WIMBO MZURI SANA MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Back
Top Bottom