Jelamashele
Senior Member
- Nov 12, 2022
- 120
- 53
Kwani wanakula nini hawa wajinga. Walitaka nje awamu moja wanafilisika njaa zinawauma kama fisi wa mchawi akifa mchawi. Wanarandaranda mitaani wakipiga mawe na kugongwa na magari. Utakuta thread kibao raisi amtazame sijui nani.Tatizo la wasomi wetu ndo hili
Kutetea ujinga ili waitwe kwenye meza ya kula
Kafulila kachoka ktk hiyo meza kuliko walipokuwa chadema isiyo na Dola.