Kafulila: Uchumi wa dunia ni US$ 105trilion 97% ni deni kukopa na kujenga ndio mpango mzima Duniani

Moja wapo ya ID za kujisifia za kafulila.
 
Acha ujinga we mjinga! Kwa rasilimali tulizo nazo tunaweza kuendesha nchi bila mikopo. Mnakopa bado hatuoni mnachokifanya,kazi kununuliana mavx na Prado za bei kubwa! Hadi ma rpc ambao wangeweza kutumia land cruiser hardtop. Mnatafuna pesa za walipa Kodi kwenda kuzurura na wasanii. Hovyo sana! Bado tumeona thread humu Mt Meru Hotel inachukuliwa Kwa USD million 45. Au ndio hiyo mikopo!?
 
Usitumie kichwa kubebea kamasi, hiyo barabara ya Dar Moro ijengwe na serikali yenyewe bila PPP, PPP ichukue miradi mikubwa ya kiuchumi. Haizidi bilioni 500 kuifanya iwe ya kisasa
Hawa watu sijui vichwa vyao vikoje!! Takataka kabisa. Mimi Nina hakika hata madini pekee yangetosha kuijenga barabara nchi nzima.
 
Nimegundua Kafulila anapendwa sana na Watanzania mkubali mkatae, Uaminifu unalipa sana
 
Kafulila anahitaji kujibiwa kisomi sio propaganda hizi zinazoendelea
 
Na anayenufaika ni mkopeshaji zaidi ya mkopaji....; Na unakopa ili ufanye nini ?

Yaani sababu wengine wanakopa na wewe uende kukopa ili ufanye vitu ambavyo ungeweza kufanya bila mkopo ? (kunjenga madarasa, vyoo n.k) By the way kama kila kitu tunawapa watu wafanye sisi tunakopa ili iweje ? Kwanini hicho tunachokopea ili tukifanye tusiwape hao watu wafanye ?

Hii awamu sio tu kwamba ina wapuuzi bali ina wapuuzi wanaodhani kila mtu ni mpuuzi hence insulting our intelliegence....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…