Kafulila: Uchumi wa dunia ni US$ 105trilion 97% ni deni kukopa na kujenga ndio mpango mzima Duniani

Kafulila: Uchumi wa dunia ni US$ 105trilion 97% ni deni kukopa na kujenga ndio mpango mzima Duniani

Huyu Kafulila ndo amebaki mwana propaganda mashuhuri na mficha madhaifu ya serikali kuliko hata viongozi wa chama na serikali.

Huyu anawafaa CCM mkimpeleka ikulu awe msemaji wa serikali
 
Usitumie kichwa kubebea kamasi, hiyo barabara ya Dar Moro ijengwe na serikali yenyewe bila PPP, PPP ichukue miradi mikubwa ya kiuchumi. Haizidi bilioni 500 kuifanya iwe ya kisasa
Toa upuuzi wako,miradi ya PPP ni Ile ambayo inaweza pata Watumishi wa kibiashara,kama huna hela utapita Barabara ya zamani
 

===
David Kafulila, Mkurugenzi PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya,

Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.

Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%

David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$315trilion

Kwa lugha nyepesi,deni la serikali zote duniani limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,

Kafulila anasema deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.

Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,

Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,

Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.

Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,

Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania.

Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
Tutakopa tu hakuna namna tunataka maendeleo kwa haraka
 

===
David Kafulila, Mkurugenzi PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya,

Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.

Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%

David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$315trilion

Kwa lugha nyepesi,deni la serikali zote duniani limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,

Kafulila anasema deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.

Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,

Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,

Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.

Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,

Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania.

Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
Mkuu Kafulila katolea mfano wa Vietnam ili kuonyesha na kuhalalisha kuwa kukopa sio jambo baya au geni.

Kwa mtazamo wangu angeainisha ulinganifu yakinifu wa kiasi cha mikopo ya Vietnam na kiasi cha mikopo ya Tanzania kwa kipindi hiko cha miaka 30 huku akionesha jinsi ilivyotumika kwa kila nchi ili kuinua uchumi.

Mkuu sio kweli kwamba Vietnam ilikuwa ikikopa sisi Tanzania tukiwa tumepause, sio kweli kabisa, ukweli ni uliopo wazi ni kuwa nasi tulikuwa tunakopa vile vile.

Swali la kujiuliza, kama sisi wote Vietnam na Tanzania tulikuwa karibia sawa kiuchumi miaka ya 1990 na tumekuwa tukikopa wote, Vietnam wamepatia wapi hadi wawe na uchumi mkubwa kiasi hicho tajwa???

Na sisi Tanzania tumechemka wapi muda wote huo hadi tudumae kiasi hiki???

Haya ndiyo maswali muhimu ambayo Kafulila alitakiwa kuyapatia majibu, sio kuja kusifia ili kuficha kiwewe cha serikali kukopa holela bila matokea chanya!!!

Mkuu usisahau ukiwachekea tumbili hakika utavuna mabua!!!
 
Huyu Kafulila ndo amebaki mwana propaganda mashuhuri na mficha madhaifu ya serikali kuliko hata viongozi wa chama na serikali.

Huyu anawafaa CCM mkimpeleka ikulu awe msemaji wa serikali
Naona kajianzishia thread, kaiscreenshot post yake kisha kaamua aje aondike huku.. Reply yako hii nilitegemea angeireply ila Mjanja hajareply hata mimi naungana na maneno yako kafulila yupo vizuri sana ana ujasiri wa kujenga hoja hata akiwa mbele ya media anajua kufanya uchambuzi n.k
Naamini atafika sehemu nzuri zaidi baadae .
 
Tumbili [emoji205][emoji205][emoji205]
 
NI BORA KUPATA POINT ZA KAFULILA MARA 1000,ZAIDI KULIKO KUUSIKILIZA UTUMBO MAVI ANAOUZUNGUMZA LISSU
HUWA HAZUNGUMZII MAMBO YA KIAKILI YA KUJENGA TAIFA NA KUWAELEWESHA WATANZANIA TUNAKWENDA WAPI?
 
Back
Top Bottom