Mbu my dia wakati naandika hii thread nilikua nasikia huyo mkaka ana hali mbaya, kwa sababu nilisikia upande wa kaka tu watu wakaanza kuniuliza kuhusu mdada mwizi ikabidi nimuulize alieniambia ndio akaniambia anaelekea msibani kwani mkaka ashafariki. Amekufa mchana huu
Huwa wanasema yasikie kwa jirani yako yasikukutesana Finest hata nguvu za kuchangia hapa sijui zinatoka wapi naona kama porojo kumbe kweli!
Hahahaha Fidel tena huyo homeboy muache tuThe Following 8 Users Say Thank You to Maty For This Useful Post:
Fidel80 (Today), GY (Today), kidman (Today), Mbu (Today), MTM (Today), MwanajamiiOne (Today), RR (Today), The Finest (Today)
Haa haa haa! Mkuu Fidel, ningeshangaa sana kama stori hii ingekupita hivi hivi bila kuigongea senksi
.................................................. ..Inauma sana aisee.................................................. ..................................................... ..Inauma sana aisee.................................................. ...
Bora kufumaniwa
.................................................. ..Inauma sana aisee.................................................. ...
Bora kufumaniwa
Huwa wanasema yasikie kwa jirani yako yasikukute
wewe hujawahi kuchukua dem wa mtu?Huwa hawaamini hadi siku yawakute ndio utasikia wanasema huyu shetani huyu
Jamaa ameisha:rip::rip::rip:tayari hapo sasa wanaanza purukushani zingine sijui kesi sijui mambo gani dah!!oops na kweli ngoja nimrudie Mungu aniepushe na mabalaa ya dunia hii.
both... si siku hizi gender balance ndio imani??Kwa mwanaume sio?
Nadhani kinyume kwa wanawake....:noidea:
Aisee MTM hata siku moja my brotherwewe hujawahi kuchukua dem wa mtu?
he... kumrudia mungu kunaendana na matendo aiseeoops na kweli ngoja nimrudie Mungu aniepushe na mabalaa ya dunia hii.
basi umebarikiwa na wala usifanye hayo... Pia muombe Mungu nawe usifanyiwe hivyoAisee MTM hata siku moja my brother
basi umebarikiwa na wala usifanye hayo... Pia muombe Mungu nawe usifanyiwe hivyo
he... kumrudia mungu kunaendana na matendo aisee
Huwa sipendi ku-reflect what happened back maana inauma sana sema ndio hivyo wengine hatujafikia hatua ya kushika visu au rungu kuuabasi umebarikiwa na wala usifanye hayo... Pia muombe Mungu nawe usifanyiwe hivyo
safi sana, nadhani hayo makabidhianona bwana ni muhimu yasindikizwe na jitihada binafsi kama bin'adamhuwezi kuyashinda matendo bila kumkabidhi bwana njia zako,hakuna lililo rahisi lakini ukimlilia yeye atakupa njia ifaayo kupita bila hata kushurutishwa na mtu utajiona matendo na mienendo yako imebadilika.
ndio maana nimeamua kuyachukulia maisha kama joke flani hivi. sasa hapa ukiangalia utaona
-roho imepotea
-fumanizi haliwezi kufutika katika historia.
-mdada kashiriki kuuwa mume na sasa ataolewa na aibu, mahari ni jeuri yake. nyambaaf!
-huyo mkaka aliejifanya kidume kumdunda marehemu wajanja wa keko wanamsubiri. shenzz! ccm! kalkit! pambaf mweusi!
-Maty ameanzisha sredi
-LD kakasirika
-chauro kapoteza apetaiti
- list goes on.......................