Kafumaniwa

Kafumaniwa

Mbu my dia wakati naandika hii thread nilikua nasikia huyo mkaka ana hali mbaya, kwa sababu nilisikia upande wa kaka tu watu wakaanza kuniuliza kuhusu mdada mwizi ikabidi nimuulize alieniambia ndio akaniambia anaelekea msibani kwani mkaka ashafariki. Amekufa mchana huu

Oooh Mungu wangu. Bwana kama wewe ungetazama makosa yetu nani angesimama mbele yako? Sasa huyo mama kapata nini?
 
.................................................. ..Inauma sana aisee.................................................. ...

Bora kufumaniwa
.................................................. ..Inauma sana aisee.................................................. ...
 
.................................................. ..Inauma sana aisee.................................................. ...

Bora kufumaniwa

Kwa mwanaume sio?
Nadhani kinyume kwa wanawake....:noidea:
 
basi umebarikiwa na wala usifanye hayo... Pia muombe Mungu nawe usifanyiwe hivyo

eee mungu baba, mfalme wa amani, niepushe na yote mawili, kufumaniwa na kufumania......Mungu niepushe zaidi na kufumania
 
Hivi neno "kufumaniwa" maana yake nini? Inawezekana ndiyo kwa Kiingereza wanasema "caught red-handed"?

Kwa jamii ya kawaida hii scenario ya Maty haiwezi kuwa "Fumanizi" ni kama "planned homicide": Mr X anafanya ngono na Mrs Y - Mrs X na Mr Y wanapata hizo habari - Halafu Mrs X na Mr Y wanapanga "kufumania"!!! Wanao-fumania Mr X anapigwa mpaka Mauti yanamkuta - Habari haisemi Mrs Y ametoweka vipi au amehusika vipi au hatima yake nini - Strange!!

Anywayz - hata vitabu vitakatifu vinachelea kutoa "maana ya fumanizi"...
 
huwezi kuyashinda matendo bila kumkabidhi bwana njia zako,hakuna lililo rahisi lakini ukimlilia yeye atakupa njia ifaayo kupita bila hata kushurutishwa na mtu utajiona matendo na mienendo yako imebadilika.


he... kumrudia mungu kunaendana na matendo aisee
 
basi umebarikiwa na wala usifanye hayo... Pia muombe Mungu nawe usifanyiwe hivyo
Huwa sipendi ku-reflect what happened back maana inauma sana sema ndio hivyo wengine hatujafikia hatua ya kushika visu au rungu kuua
 
huwezi kuyashinda matendo bila kumkabidhi bwana njia zako,hakuna lililo rahisi lakini ukimlilia yeye atakupa njia ifaayo kupita bila hata kushurutishwa na mtu utajiona matendo na mienendo yako imebadilika.
safi sana, nadhani hayo makabidhianona bwana ni muhimu yasindikizwe na jitihada binafsi kama bin'adam
 
ndio maana nimeamua kuyachukulia maisha kama joke flani hivi. sasa hapa ukiangalia utaona
-roho imepotea
-fumanizi haliwezi kufutika katika historia.
-mdada kashiriki kuuwa mume na sasa ataolewa na aibu, mahari ni jeuri yake. nyambaaf!
-huyo mkaka aliejifanya kidume kumdunda marehemu wajanja wa keko wanamsubiri. shenzz! ccm! kalkit! pambaf mweusi!
-Maty ameanzisha sredi
-LD kakasirika
-chauro kapoteza apetaiti
- list goes on.......................
 
ndio maana nimeamua kuyachukulia maisha kama joke flani hivi. sasa hapa ukiangalia utaona
-roho imepotea
-fumanizi haliwezi kufutika katika historia.
-mdada kashiriki kuuwa mume na sasa ataolewa na aibu, mahari ni jeuri yake. nyambaaf!
-huyo mkaka aliejifanya kidume kumdunda marehemu wajanja wa keko wanamsubiri. shenzz! ccm! kalkit! pambaf mweusi!
-Maty ameanzisha sredi
-LD kakasirika
-chauro kapoteza apetaiti
- list goes on.......................

Hii kali aisee, na ccm ndani??
 
Back
Top Bottom