Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,549
- 4,133
Nyie wa dar mnaona kila mtu yupo dar!Dar ipi hiyo masaki au ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wa dar mnaona kila mtu yupo dar!Dar ipi hiyo masaki au ?
Mungu hana kanisa mkuu, tusimsingizie kabisaKabisa ni nini?
Hakuna mwanadamu anayekula ugali na kwenda chooni mwenye uwezo wa kufunga kanisa LA Mungu.
Nero na ubabe wake wote alishindwa kufunga kanisa.
Kagame amezuia mikusanyiko ya kihuni na kipigaji.
HayaMungu hana kanisa mkuu, tusimsingizie kabisa
Akili au matope?Wachungaji uchwara Kama Hawa wanaojambia wafuasi wao usoni wakisema wanawaombea ni upumbavu na wanatakiwa hata miti wachezee.
View attachment 2358227
Sent from JamiiForums mobile app
Wewe ndio chizi kabisaa huna akili nzuri ushachanganyikiwa kwa mafuta ya upako umewahi sikia wapi anglikana , lutheran , assemblies of God na katoliki wanamafuta ya upako.
Na hao wote wamesoma miaka minne , mapadri na wachungaji wote wanasomea kulifahamu neno la Mungu nakulitakasa na wanasimikwa ni ibada kabisa kwao.
Zuzu hatuwezi kuweka makanisa ambayo hayaheshimu mahali patakatifu 1. Mtu anamwita mtu mimbarani anamjambia eti ni upako.Anglican, Lutheran, Catholic, Wapentekoste n.k sio kipimo cha Ukristo.
Hatutaki udikteta wa aina yoyote nchini kwetu. Kila mtu aabudu anachoona kinamfaa ili mradi hamdhuru mtu au kuvunja sheria za nchi.
Acheni upumbavu wa kushangalia udikteta kama mazuzu.
Kagame anajisifia ubabe wa kufunga makanisa elfu sita na misikiti 100!! Anaongea hayo kwa madaha wakati pumzi inayomwezesha kuishi kila dakika inatoka kwa Mungu!! Ajiandae kukutana na mkono wa Mungu hapa duniani kwanza kisha jehanamu kama hatatubu. Akitubu Mungu ni wa rehema atamsamehe!
View attachment 2358229
Kwenye hayo mengi Kuna kanisa viongozi wake huwa hawaoi Wala hawaolewi ulisahau kwenye list yakoKuna makanisa ni kero hapa tz yapo mengi sana. Ni vile tuu hujui