Kagame hakuja msibani kumzika rais wetu, na alikaa miezi siku nyingi sana kabla hajatupa pole, Rais Samia unakwenda Rwanda kufanya nini?

PK mshenzi kweli kweli Alimtapeli JAY PM. Pk alimshindwaga JK maana wote matapta yulee mshamba aliingia mkenge. ilee Hela tuma kwenye Namba hii stone likatuma.

Kwa ushamba ulee angekuwa anapumua mpka leo ungekuta katepelewa dodoma. Nchi ndani ya nchi.
 
naunga mkono hoja yako mimi binafsi nawajua askari jeshi wawili wa Rwanda (wote wana nyota mbili) ambao ni watanzania na mmoja wao now day yupo Russia anasomea masuala ya cyber security


pia kuna HR wa TANROAD mkoa fulani ni mnyarwanda pure na mke wake ni afisa uhusiano PCCB
 
PK mshenzi kweli kweli Alimtapeli JAY PM. Pk alimshindwaga JK maana wote matapta yulee mshamba aliingia mkenge. ilee Hela tuma kwenye Namba stone likatuma.

Kwa ushamba ulee angekuwa anapumua mpka leo ungekuta katepelewa dodoma. Nchi ndani ya nchi.
Kwani aliyeasisi nchi ya kichina kujengwa pale bagamaini ni nani? au hiyo siyo nchi ndani ya nchi.
 
Ngoja nikwambie kitu usichokijua..there is no permanent enemy or friend in politics but common interest.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app

Probably this applied to our stance on the Corona Virus as well?

It would be useful to know what real happened between SSH and JPM with regard to this total shift of positions.
 
Hii nchi haijulikani hata tunafanya nini ni hovyo kila jambo
 
Mahusiano ya kiuchumi, kibiashara na kidiplomasia ni muhimu zaidi kuliko bifu zisizo na kichwa wala miguu....
Rwanda ina nini hasa cha kujivunia ili kuiletea Tanzania uchumi. Nchi nzima ya Rwanda ambayo ukubwa wake unazidiwa na mkoa mmoja tu wa Tanzania.

Na haina rasilimali yoyote ya kujivunia. Otherwise ungekuwa muwazi tu kwamba kuna mbinu za kiutawala wa mabav wanaenda kujifunza.
 
Hii siyo hoja wengine tumesoma nao,tunawajua kuwa ni wanyarwanda, lakini sisi ni wazungu wa roho hatuna noma.
Ni mpaka tujisikie tunataka kuwapurge ndiyo tunawapurge
 
Hahiitaji akili kubwa kuona kuwa amambo mengi anayoyafanya mama sasa ni kupingana na Mwendazake..ila hili la Rwanda naoana ameruka mkojo na kukanyaga Kinyesi...sujui kama ameshauriana na "boss" wake pale Msoga kwani wakati wa utawala wa Boss wake..hakuwa na mahusiano mazuri na Rwanda
 

Baada ya siku 100 sifa sifa zile SSH mabega yalimpanda.

Bila shaka akadhani hata kipindi cha JPM, actually mwendazake alipaswa kuwa makamu na yeye akawa ndiye munene mwenyewe.


Baada ya siku 100 yaonesha yuko wayward na anazidi kulikoroga.

Bila shaka sasa hivi haambiliki.
 
Umeandika kwa hasira ila ni kweli ulichoandika. Kwa watanzania wengi nafasi ya urais tunaichukulia poa sana. Tunafikiri Rais anatembea tembea tu kama mjumbe wa nyumba 10
 
And shrewd propagandist
Kagame is so much cunning and wicked in his own ways. He has a very strange annoying character. Pure mercilessly capitalist. He is a self centered brutal autocratic dictator.
 
Wajeda wamemgomea mama wanataka acheze beat la mwenda zake!!!Sasa kaenda kuomba msaada nini cha kufanya!!!Akirudi muwe macho kuna mengi ya siri mtayaona!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…