Kagame kawachana Marais wanafiki wa Afrika, hacheki na wowote

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Haina haja ya salamu. Tunaoweza kiinglish tu ndo tutaelewa hapa. Wale wenzangu na mimi tuliokomea madrasa tu hatukufika Sekondari na Chuo... Huu uzi tutaupita kama tunaaga maiti. Kagame amesema hawa viongozi wasijifanye hawajui. Wanajua sana. Kashasema sasa na amekaa pale. πŸ‘‰ Haka kajamaa kanajiamini nini lakini? Hakacheki na wowote? Kanalinda nchi yake.
Your browser is not able to display this video.
 
EA na SADC tunatafutiwa vita vya lazima, hapa wanachonganishwa wapigane uchumi uyumbe zaidi nchi maskini zizidi kuwa na ufukara wa kutupwa ukapuku...
Umemwambia mtu akuelezee anachozungumzia lakini? Maana umetoa tu maoni general. 😁
 
Wakubwa wa hii Dunia wanamtumia kagame kuchota madini ya congo
Hata kama, Israel kapewa misaada ya kila aina kupigana na vijana wapo kwenye ki wilaya, lakini Israel imechemka.
DRC ina wananchi zaidi ya milioni 100, vijana hawajaamua kujitoa kupambana na Rwanda, wakiji organize vizuri na wakaweka uzalendo mbele na kujipanga kuidhibiti Rwanda , Rwanda itachakazwa.

Kikubwa ni kuwa na ile spirit ya kupambana na kutokata tamaa, Hamas hawakuwa na msaada wa maana wowote, wana RPG na AK 47s lakini walichofanya ni maajabu.
 
Sasa yeye ana maslahi gani na mambo ya ndani yanayohusu raia wa Rwanda?
Kwanini asiwe msuruhishi kati ya hao wacongo anaosema wanabaguliwa kuliko kuchochea vita?
 
Kagame ni Rais anayejielewa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…