and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Wao ni kulia tu kila siku, nchi ina wananchi milioni zaidi ya 100, bad wanalia kila siku...Kubwa jinga kabisa...
Hii dunia ilipofikia si kama miaka ya 1970s, hivi sasa hakuna mtu wa kukupambania, hii ni dunia ya ubinafsi..
Trump huyo hapo kasema hatoi pesa kununua dawa za ARV...
Gaza imechakazwa dunia inatizama, wananchi 50000 wanauawa.. hakuna wa kukusaidia kama hujisaidii wewe kwanza..
Vijana wa DRC waamke, wapambanie nchi yao...