Kagame kawachana Marais wanafiki wa Afrika, hacheki na wowote

Kagame kawachana Marais wanafiki wa Afrika, hacheki na wowote

DR_Congo-Rwanda_bilateral_map.png

Ila Congo kuna shida gani? hivi ki Rwanda kilivyo kidogo inakuwaje kinawapelekesha kiasi hiko?
Unazani Rwanda yupo peke yake?Wanao mpa kiburi ni EU na US,sababu ya zile Cobalt na Coltan. Hebu msikilize huyu mbunge wa Ubeligiji.

View: https://m.youtube.com/watch?v=ajQhHy6U830&pp=ygUfV2hlbiB3b21hbiBiZWcgbWFuIHRvIG1hcnJ5IGhlcg%3D%3D

Wewe unazani wale Mercenaries wa juzi wapo DRC kwa maslahi ya nani?

Halafu wale Mercenaries juzi wamjisalimisha kwa M23 na kuruhusiwa kupitia nchi ya Rwanda kurudi makwao. Hivi ushajiuliza M23 wana huruma ya kiasi gani ya kuwachia wale Mercenaries bila kuwagusa.

EU na US wanajua wanacho kifanya DRC na Kagame wanamtumia kulinda maslahi yao na kuficha maovu yao.
 
DR_Congo-Rwanda_bilateral_map.png

Ila Congo kuna shida gani? hivi ki Rwanda kilivyo kidogo inakuwaje kinawapelekesha kiasi hiko?
Vita siyo lelemama broo.

Mwezi February 2022 Putin alituma ule msafara wa 60km (wanajeshi wakiwa na vifaru, mizinga, makombora, nk) kwenda kuteka Kiev, ni miaka 3 sasa na bado Kiev haijawahi kutekwa!

Na ukubwa wa eneo la nchi ya Russia ni mara 17 ya Ukraine
 
UK na karibu nusu ya dunia ipi ilikuwa eneo dogo ?

Japan na China ?

Marekani na Vietnam ?

Israel na waarabu ?

Ukraine na Urusi ?
Lakini haihalalishi nchi yenye kieneo kidogo inaweza kuishinda nchi kubwa.
Kuna uzembe flani unakuwepo, lakini kiuhalisia nchi yenye population kubwa inapaswa kuishinda nchi yenye eneo dogo na population ndogo.
 
Hata kama, Israel kapewa misaada ya kila aina kupigana na vijana wapo kwenye ki wilaya, lakini Israel imechemka.
DRC ina wananchi zaidi ya milioni 100, vijana hawajaamua kujitoa kupambana na Rwanda, wakiji organize vizuri na wakaweka uzalendo mbele na kujipanga kuidhibiti Rwanda , Rwanda itachakazwa.

Kikubwa ni kuwa na ile spirit ya kupambana na kutokata tamaa, Hamas hawakuwa na msaada wa maana wowote, wana RPG na AK 47s lakini walichofanya ni maajabu.
Husifanye masihala na US na EU wanapotaka lao,wapo tayari kutumia njia haramu na tena wale DRC wanahifadhi ya asilimia sitini ya madini yote duniani yanayo tumika kutengeneza betri za magari,simu na vifaa vya kijeshi. Kuwatoa pale ngumu watatumia njia zote za haramu wavune utajiri wa DRC.
 
Husifanye masihala na US na EU wanapotaka lao,wapo tayari kutumia njia haramu na tena wale DRC wanahifadhi ya asilimia sitini ya madini yote duniani yanayo tumika kutengeneza betri za magari,simu na vifaa vya kijeshi. Kuwatoa pale ngumu watatumia njia zote za haramu wavune utajiri wa DRC.
Mi naamini hayo mambo ni zamani, nguvu ya wananchi ikiwa moja watafaidika kama nchi na rasilimali zao, watafanya mikataba na makampuni na kuingiza wawekezaji kihalali.

Lakini DRC wamekuwa kama mazuzu.
 
Mi naamini hayo mambo ni zamani, nguvu ya wananchi ikiwa moja watafaidika kama nchi na rasilimali zao, watafanya mikataba na makampuni na kuingiza wawekezaji kihalali.

Lakini DRC wamekuwa kama mazuzu.
Ndio ipo hivyo broo,huyu wa kwenye clip mzungu mwenzao na tena Mbunge kutoka ubeligiji msikilize.

View: https://m.youtube.com/watch?v=ajQhHy6U830&pp=ygUfV2hlbiB3b21hbiBiZWcgbWFuIHRvIG1hcnJ5IGhlcg%3D%3D
Labda Russia aingilie kati nae ameshatoa onyo kwa Rwanda na M23,juzi kwenye kikao cha UN.
 
Tuambiwe, kwanini kila M23 anapovamia DRC, mauzo ya Cobalt na Tantulum Rwanda yanashoot juu mara dufu? Why?!
Price hiyo kupanda haina mahusiano ya demand na suppy? Ngoja wadadisi wa mambo watufungue zaidi
 
Hata kama, Israel kapewa misaada ya kila aina kupigana na vijana wapo kwenye ki wilaya, lakini Israel imechemka.
DRC ina wananchi zaidi ya milioni 100, vijana hawajaamua kujitoa kupambana na Rwanda, wakiji organize vizuri na wakaweka uzalendo mbele na kujipanga kuidhibiti Rwanda , Rwanda itachakazwa.

Kikubwa ni kuwa na ile spirit ya kupambana na kutokata tamaa, Hamas hawakuwa na msaada wa maana wowote, wana RPG na AK 47s lakini walichofanya ni maajabu.
Mgogiro wa DRC ni mradi tata - money making scam kwa 'watabe' wa dunia.
 
EA na SADC tunatafutiwa vita vya lazima, hapa wanachonganishwa wapigane uchumi uyumbe zaidi nchi maskini zizidi kuwa na ufukara wa kutupwa ukapuku...
Tunatafutiwa vita na nan ? Ili nalo ni la kulaumu mabeberu ? 😄 kwani walikuja kutushikia mtutu tuanzishe izi jumuiya ?
 
Hata kama, Israel kapewa misaada ya kila aina kupigana na vijana wapo kwenye ki wilaya, lakini Israel imechemka.
DRC ina wananchi zaidi ya milioni 100, vijana hawajaamua kujitoa kupambana na Rwanda, wakiji organize vizuri na wakaweka uzalendo mbele na kujipanga kuidhibiti Rwanda , Rwanda itachakazwa.

Kikubwa ni kuwa na ile spirit ya kupambana na kutokata tamaa, Hamas hawakuwa na msaada wa maana wowote, wana RPG na AK 47s lakini walichofanya ni maajabu.
Tofautisha vita na kucheza sebene.
 
Vita siyo lelemama broo.

Mwezi February 2022 Putin alituma ule msafara wa 60km (wanajeshi wakiwa na vifaru, mizinga, makombora, nk) kwenda kuteka Kiev, ni miaka 3 sasa Kiev haijawahi kutekwa!

Na ukubwa wa eneo la nchi ya Russia ni mara 17 ya Ukraine
Ata ivo bhn nchi zinazounda jumuiya ya EA wakiamua kweli kwa Ruwanda ilivyo ni vita ya kupiganwa week 1 tu kagame akatafuta pakutokea 😄
 
Back
Top Bottom