Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
- Thread starter
-
- #61
Wewe muongo. Nenda kawaulize Hamas,Hizbullah, Iran na Assad yu wapi sasa. Hoiiiii..... Hujui kitu dogo.Hata kama, Israel kapewa misaada ya kila aina kupigana na vijana wapo kwenye ki wilaya, lakini Israel imechemka.
DRC ina wananchi zaidi ya milioni 100, vijana hawajaamua kujitoa kupambana na Rwanda, wakiji organize vizuri na wakaweka uzalendo mbele na kujipanga kuidhibiti Rwanda , Rwanda itachakazwa.
Kikubwa ni kuwa na ile spirit ya kupambana na kutokata tamaa, Hamas hawakuwa na msaada wa maana wowote, wana RPG na AK 47s lakini walichofanya ni maajabu.
Muongo huyo Kagame. Anaposema eti M23 wametokea Uganda, mbona DRC hawailaumu Uganda. Kama amekiri kuwa waasi walioingia Rwanda ni kati ya 500 hadi 600 ndio ukweli amekubali wako kwake. Na yeye ndiye mfadhili. Apigwe ndani ya Kigali na yeye aone uchungu.Umemwambia mtu akuelezee anachozungumzia lakini? Maana umetoa tu maoni general. π
Huo mfano ulio utoa hauendani na kinacho endelea Congo,maana Ukraine hajaishinda Urusi bali ni ana toa upinzani mkali tu kwa Urusi na penyewe ni kwasababu ana wasaidizi kibao nyuma yake ,na ndo maana mpaka sasa Urusi amemnyanganya robo nzima ya ardhi ya nchi yake.Ukishangaa ya Congo vs Rwanda hujayaona ya Russia vs Ukraine
Hizbullah wapo, Hamas wapo, Iran ipo, serikali ya Syria imeondolewa na waasi ambao hawaikubali Israel.Wewe muongo. Nenda kawaulize Hamas,Hizbullah, Iran na Assad yu wapi sasa. Hoiiiii..... Hujui kitu dogo.
Jiulize sasa taifa teule linavyowapelekesha miarabu ππ€£
Ila Congo kuna shida gani? hivi ki Rwanda kilivyo kidogo inakuwaje kinawapelekesha kiasi hiko?
Taifa teule limeshindwa kupambana na kuwamaliza Hamas ndani ya Gaza, ambao wana AK 47s na RPG...Jiulize sasa taifa teule linavyowapelekesha miarabu ππ€£
Unawaza kama mm.Congo ni wajinga , hata siku moja usikubali kupigania kwako, akija congo wewe ingia rwanda ukiwashe
Itakuwa M23 wanawauzia Rwanda hayo madini.Tuambiwe, kwanini kila M23 anapovamia DRC, mauzo ya Cobalt na Tantulum Rwanda yanashoot juu mara dufu? Why?!
Aangalie wasimchaneHaina haja ya salamu. Tunaoweza kiinglish tu ndo tutaelewa hapa. Wale wenzangu na mimi tuliokomea madrasa tu hatukufika Sekondari na Chuo... Huu uzi tutaupita kama tunaaga maiti. Kagame amesema hawa viongozi wasijifanye hawajui. Wanajua sana. Kashasema sasa na amekaa pale. π Haka kajamaa kanajiamini nini lakini? Hakacheki na wowote? Kanalinda nchi yake.
View attachment 3220086
Unataka ya lugha gani? au France na Kiswahili kwako havipandi?Sasa mbona hakuna walau subtitles?
Yuko wapi wa kumpiga?Muongo huyo Kagame. Anaposema eti M23 wametokea Uganda, mbona DRC hawailaumu Uganda. Kama amekiri kuwa waasi walioingia Rwanda ni kati ya 500 hadi 600 ndio ukweli amekubali wako kwake. Na yeye ndiye mfadhili. Apigwe ndani ya Kigali na yeye aone uchungu.